Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Lissu lazima ajeWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Kweli nazidi kuamini kuna watu walioko kwenye system hawakupenda huyu GENTLEMAN TL Hata apone....ila ya Mungu mengi.jamaa anarudi home..... Home sweet home and not otherwise.katika historia ya siasa za Tanzania sijawahi kushuhudia chuki za wazi wazi kabisa za kisiasa kama awamu Hii.
Daah,ama kweli tunatofautiana akili na kihemko ya kisiasa! Hivi kweli mkuu ukiwa na akili timamu bila kushawishiwa wala kushinikizwa na mtu yoyote unaamini Tundu Antipass Lissu atamshinda John Joseph Pombe Magufuli kwenye Uchaguzi mkuu 2020? Na uko serious?
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
October iwe ndo mwisho wao, sijui sura zao wataweka wapi.Wasiojulikana kuendelea kutojulikana
Ata Arrest Warrant ikitolewa akikamatwa anapelekwa mahakamani kujieleza kwanini hakufika mahakamani.....
sababu nzuri nyingi tu anazo
Kweli kuna watu waoga sioni ata nguvu ya Lisu mpaka afanyiwe Ayo
Hii ni case tofauti kabisa.jomba. Noriega alikuwa dikteta tofauti na huyu wetu, he is very smart anacheza Mule mule mwa sheria inavyosema. Mtu amezungukwa na magwiji wa sheria utamuweza vipiDogo, uliwahi kusikia juu ya MANUEL NORIEGA wa Panama?
Huyu alikuwa jenerali wa jeshi, rais wa nchi huru, lkn alikamatwa akiwa madarakani, akatiwa pingu akarushwa kwa ndege hadi nchi nyingine akafunguliwa mashtaka fasta na kufungwa miaka kibao! I think that was in 1990
Jomba cha ajabu ambacho umekiona hapo ni kipi..nadhani yote hayo kila mtu anayajua hapa tunakumbushana tuu..sana sana watu huwa wanajifanya kufichaficha ukiongea ukweli watu wanajifanya kushangaaBabeli
Imebidi nicheki jina lako mara mbilimbli na ili nisilisahau.
Nitakumbuka hiki ulichoandika hapa kila nitakapokuwa nakusoma humu JF.
Hahaha hujaelewa Jomba. .nilikuwa namaanisha nchi kama nchi huru ina sheria zake zinazofuatwa..hakuna ukoloni mkoloni mzee wa kuendelea kututawali anymoreMpige mkeo kwa kigezo ni wako alafu uone kitakachokupata
Jomba katika point zooote hizo umedaka issue ya kukaa muda mrefu serikalini tuuu...akili yako ndipo ilipoishia hapo kweli..are you serious...pita na point nyingine basi...one by one..usirukerukeSo bora huyo Lissu aliyejipambania mwenyewe kuliko huyo Magu wako aliyetolewa jalalani na Mkapa,kukaa Serikalini muda Mrefu sio kigezo cha kuwa kiongozi mzuri, kama point yako ni kukaa muda mrefu basi mpeni Wasira Nchi,.
kama hujaenda shule ya sheria au kufanya bar exam basi lazima mahakama kuu ikuidhinishe kupractise hapa Tanzania, sio rahisi namna hiyo.Robert Amsterdam founder of Amsterdam and Patners LLP
Huyu bwana ametetea kesi nyingi duniani tena kwenye mazingira magumu yenye udikteta uliokomaa kama Venezuela, Rusia, Brazil, Turkey...atashindwa hapa kwa madikteta uchwara??
Wewe ni juha!Jomba cha ajabu ambacho umekiona hapo ni kipi..nadhani yote hayo kila mtu anayajua hapa tunakumbushana tuu..sana sana watu huwa wanajifanya kufichaficha ukiongea ukweli watu wanajifanya kushangaa
Lucid dreams.Jumatatu tunamkaribisha nchini Rais wa awamu ya sita uwanja wa JKNIA na jumanne tunamuaga Rais wa awamu ya tatu uwanja wa Taifa.
Ni siku mbili muhimu sana
Tatizo LA nchi yetu wenye akili wako nyuma wajinga wako mbele wenye busara na waelevu wako nyuma kama hamjui no sawa na kujidunga kisu kwenye mapafu yenu wenyeweWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama