Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Kun balozi flani sijui ni Denmark au Sweden au Netherlands hapa Nairobi ndo balozi yao Kubwa zaidi ulimwengu mzima ... Ofisi hio inawakilisha Somalia, Uganda, na nchi Nyengine kama tano hivi ....
---------
Alafu nafikiri pia Kenya inasaidiwa na kua tuko na UN Africa HQ ambayo pia ndo HQ ya UNEP kwahivyo balozi yeyote anayeletwa Kenya hua pia anakua mwakilishi wa nchi yao pale UNEP kwahivyo ana vyeo zaidi ya kimoja. Kwahivyo balozi za Kenya siku zote zitakua na wafanyikazi wengi kuliko balozi Nyengine hapa Africa... Labda kule Ethiopia ndo pia wako kama hivyo manake Kuna HQ ya AU
---------
Balozi ya Marekani Nairobi ndo balozi kubwa zaidi Africa (kwa wafanyikazi) na ya tatu kwa ukubwa duniani
--------
MR KNEEDLER: Morning, Mr. Secretary.
SECRETARY BLINKEN: Eric, good to see you.
MR KNEEDLER: Great to see you as well, and on behalf of the 1,800 people and 34 agencies and offices represented here at Mission Nairobi, I’d like to offer you a warm virtual welcome to Kenya. Mission Nairobi is your largest embassy in the Africa Bureau, and we’re proud of the work our diverse and talented team carries out on behalf of the American and Kenyan people.
-----------
Na kati ya embassy zote za EU duniani, EU embassy in Nairobi ndo ya pili duniani kwa ukubwa..
-----------
NAIROBI, Kenya
The European Union on Tuesday opened its second-largest embassy in the Kenyan capital Nairobi.
The embassy was officially opened by EU foreign policy chief Federica Mogherini who held a joint news conference with Kenyan Foreign Affairs Cabinet Secretary Monica Juma.
Mogherini said that unveiling of the new embassy is proof of Kenya's pivotal role as a regional hub and gateway to East and Central Africa.
Speaking to local media, Mogherini said: “We see Kenya as not only a gateway to the region and to Africa but also as an important hub. I was pleased to inaugurate our new EU embassy here in Nairobi; it is the second largest in the world and this is not by coincidence.”
She noted that during her meeting with Juma they discussed trade, blue economy and regional security matters.
Mogherini arrived in Nairobi following a visit to Mogadishu, Somalia.
www.aa.com.tr
---------
Alafu nafikiri pia Kenya inasaidiwa na kua tuko na UN Africa HQ ambayo pia ndo HQ ya UNEP kwahivyo balozi yeyote anayeletwa Kenya hua pia anakua mwakilishi wa nchi yao pale UNEP kwahivyo ana vyeo zaidi ya kimoja. Kwahivyo balozi za Kenya siku zote zitakua na wafanyikazi wengi kuliko balozi Nyengine hapa Africa... Labda kule Ethiopia ndo pia wako kama hivyo manake Kuna HQ ya AU
---------
Balozi ya Marekani Nairobi ndo balozi kubwa zaidi Africa (kwa wafanyikazi) na ya tatu kwa ukubwa duniani
--------
MR KNEEDLER: Morning, Mr. Secretary.
SECRETARY BLINKEN: Eric, good to see you.
MR KNEEDLER: Great to see you as well, and on behalf of the 1,800 people and 34 agencies and offices represented here at Mission Nairobi, I’d like to offer you a warm virtual welcome to Kenya. Mission Nairobi is your largest embassy in the Africa Bureau, and we’re proud of the work our diverse and talented team carries out on behalf of the American and Kenyan people.
Technical Difficulties
ke.usembassy.gov
Na kati ya embassy zote za EU duniani, EU embassy in Nairobi ndo ya pili duniani kwa ukubwa..
-----------
NAIROBI, Kenya
The European Union on Tuesday opened its second-largest embassy in the Kenyan capital Nairobi.
The embassy was officially opened by EU foreign policy chief Federica Mogherini who held a joint news conference with Kenyan Foreign Affairs Cabinet Secretary Monica Juma.
Mogherini said that unveiling of the new embassy is proof of Kenya's pivotal role as a regional hub and gateway to East and Central Africa.
Speaking to local media, Mogherini said: “We see Kenya as not only a gateway to the region and to Africa but also as an important hub. I was pleased to inaugurate our new EU embassy here in Nairobi; it is the second largest in the world and this is not by coincidence.”
She noted that during her meeting with Juma they discussed trade, blue economy and regional security matters.
Mogherini arrived in Nairobi following a visit to Mogadishu, Somalia.
EU opens world’s second largest mission in Nairobi
Embassy officially opened by EU foreign policy chief Federica Mogherini - Anadolu Ajansı