Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
...mkuu, kwani walimshikia bunduki ili awe spika!?Kazi ikimshinda anaweza akang'atuka.
Si ndo hapo.....ndo malipo ya dhuluma kwa Samweli Sitta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...mkuu, kwani walimshikia bunduki ili awe spika!?Kazi ikimshinda anaweza akang'atuka.
Yule mama ni kirambasi,
Wanabodi,
Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.
Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.
Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.
Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.
Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.
Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.
Pasco.
Yule mama ni kirambasi,
ni nini hicho mkuu?
heri mmoja afe ili wengi waokolewe!
Acha asulubiwe kwa maslahi ya umma.
Makinda anaharabiwa na INFERIORITY COMPLEX. Anajua Tundu Lissu anamzidi kwa mbali kwenye SHERIA (read Mlima na kichuguu). Na Tundu Lissu anajua fika mama Makinda ni mweupe wa SHERIA. Hivyo Tundu Lissu anatumia huo UDHAIFU wa Spika kumvuruga mama Makinda. Na Mama Makinda anataka kuficha INFERIORITY COMPLEX yake kwa KUVUNJA KANUNI.
Naungana na Sitta(?)/Msekwa(?) aliyeshauri kwamba SPIKA wa Bunge la JMT lazima awe na taaluma SHERIA. Huu UKIHIYO wa SHERIA wa Mama Anne Makinda ndiyo unaomtafuna na wala SIO jinsia yake ya KE. Katiba mpya iweke kigezo cha taaluma ya SHERIA ili kuwa SPIKA wa JMT. (BTW, mimi sio mwanasheria)[/QUOTEt]
Mkuu huyu Jobless Ndugai anataaluma ya SHERIA?