Mheshimiwa mbunge acha mara moja "kuuza" mechi ya Dodoma Jiji Vs Yanga

Mheshimiwa mbunge acha mara moja "kuuza" mechi ya Dodoma Jiji Vs Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
 
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Je mleta mada kaambatanisha picha kama ushahidi? [emoji777]
Je mleta mada kaambatisha hata video kuthibitisha hoja yake? [emoji777]
Je mleta mada kaambatanisha hata voice record kuonesha akisemacho kina chembe chembe ya ukweli? [emoji777]

Kama vyote hivyo hakuna kwanini tusihitimishe kuwa mleta mada kaleta uzushi?
 
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Bahasha hazina nafasi ndiyo maana mnahangaika. Timu zote ukiondoa utopolo na Simba yyte anaweza kushuka daraja. Kila timu inapambana isishuke daraja.

Zile milioni 300 mlizotenga tunajua hazijaisha lkn KWA Sasa hazina nafasi.

Acheni uwezo uamue matokeo.

Km nyie Ni bora mnahangaika nn?
 
Mbunge gani alihusika kwenye matokeo ya Simba kufungwa na Mbeya city na Kagera
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
 
Maneno bila uthibitisho ni inawezekana mtoa taarifa ni mpumbavu au ana elementi za uke wenza!! Sasa chagua kuwa

Mama,
Mpumbavu.
 
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
That means Simba alipewa bahasha mechi ya Kagera sugar, Mbeya city si ndio?
 
Back
Top Bottom