SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Mshaanza kurukaruka kwa hofu? [emoji1][emoji1] We pambana ujihakikishie nafasi yako ya pili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishajua akili zao, wala hujichoshi, unawaacha wanabweka tu.Yanga Akishinda Utaskia "Wamehonga Mechi", Yanga Akifungwa Utaskia " Huo Ndo Uwezo Wao Hawanaga Timu", Yanga Akiwa Bingwa Utaskia " Ligi Dhaifu Ligi Mbaya Haina Mvuto"
Sasa mbona hapa mnahaha nini? Si mtulie bahasha haipo?Sio suala la mikia fc sasa hivi mnastruggle kwasababu hakuna bahasha, kila timu inapambana isishuke daraja.
🤣🤣Yanga Akishinda Utaskia "Wamehonga Mechi", Yanga Akifungwa Utaskia " Huo Ndo Uwezo Wao Hawanaga Timu", Yanga Akiwa Bingwa Utaskia " Ligi Dhaifu Ligi Mbaya Haina Mvuto"
Sasa hapa anayehangaika ni nani, Yanga au Makolo?Bahasha hazina nafasi ndiyo maana mnahangaika. Timu zote ukiondoa utopolo na Simba yyte anaweza kushuka daraja. Kila timu inapambana isishuke daraja.
Zile milioni 300 mlizotenga tunajua hazijaisha lkn KWA Sasa hazina nafasi.
Acheni uwezo uamue matokeo.
Km nyie Ni bora mnahangaika nn?
Mashabiki Wa Simba Wanajionaga Wana Timu Ya Maana Uwanjani Na Bank Duniani Hakuna [emoji23]Ukishajua akili zao, wala hujichoshi, unawaacha wanabweka tu.
timu mbovu haiwezi kufika robo wala kupeleka timu 4 CAFMashabiki Wa Simba Wanajionaga Wana Timu Ya Maana Uwanjani Na Bank Duniani Hakuna [emoji23]
Timu imara hiwezi kuishia robotimu mbovu haiwezi kufika robo wala kupeleka timu 4 CAF
Mashabiki wa timu iliyo kileleni hawaamini kwamba wako kileleni. Hii ni hatari Sana kwa afya zao.Sasa hapa anayehangaika ni nani, Yanga au Makolo?
Mtu amekaa kavimbiwa anaanza kuja na thread hapa, kama ana uthibitisho wowote si atume uonekane hapa?
Hamuamini kama Ubingwa hampati? [emoji1][emoji1] Yani sahau
Mamelod wameishia robo,ni timu dhaifu? comment kwa kutumia akili zako sio UtopoloTimu imara hiwezi kuishia robo
Ni kigezo kipi ambacho kinatumika ku categorize kuwa timu A ni dhaifu au sio dhaifu? Tusnzie hapo kwanza ndipo itajulikana Mamelod atakuwa kundi lipiMamelod wameishia robo,ni timu dhaifu? comment kwa kutumia akili zako sio Utopolo
Ni kigezo kipi ambacho kinatumika ku categorize kuwa timu A ni dhaifu au sio dhaifu? Tusnzie hapo kwanza ndipo itajulikana Mamelod atakuwa kundi lipi
Sasa Wewe Kolo Wangekuwa Sio Timu Dhaifu Mbona Wametolewa Sasa? Tena Kijinga Kabisa Na Madrid [emoji1787], Au Basi Wangekuwa Na Vikombe Vya Ulaya Hata Kadhaa Kwa Sasa.Kwa akili za kitopolotopolo ni kwamba Man City ni timu dhaifu ndio maana imetolewa nusu fainali,au naongopa wana utopolo [emoji851]?
Timu Bora Haiwezi Kuishia Robo Fainali Tu Kila Msimu.timu mbovu haiwezi kufika robo wala kupeleka timu 4 CAF
Magoli ya mechi ya kagera yote ya offside.Hovyo kabisa pambana na Hali yako.HuyoooooMheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.
Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Mamelody kasha chukua kombe sio dhaifuMamelod wameishia robo,ni timu dhaifu? comment kwa kutumia akili zako sio Utopolo
ROBO MICHUANO IPI MKUU?? TUPATE SOTE (SHIRIKISHO)??Mamelod wameishia robo,ni timu dhaifu? comment kwa kutumia akili zako sio Utopolo