Mheshimiwa mbunge acha mara moja "kuuza" mechi ya Dodoma Jiji Vs Yanga

Mheshimiwa mbunge acha mara moja "kuuza" mechi ya Dodoma Jiji Vs Yanga

Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Kama mbunge ana akili ya kuishusha timu yake kwa ajili ya mayele,basi akili hana kabisa.
Ila wagogo zamani walikuwa wagagagigikoko,wanaweza kufanya ujinga huo wala sishangai.Kwani wachezaji wanatoa siri ya kinachoendelea
 
Na nyie mli struggle kwasababu gani?
Ratiba haikuwa upande wetu maana tulikuwa na mashindano mengi.
Fikiria timu pungufu inatoka kupambana na Orlando wiki moja baadae inakutana na Utopolo wazee wa mieleka.
Wachezaji wanakuwa wamechoka na hawaja train.
Sasa hivi tuko sahani moja mtajua hamjui
 
Je mleta mada kaambatanisha picha kama ushahidi? [emoji777]
Je mleta mada kaambatisha hata video kuthibitisha hoja yake? [emoji777]
Je mleta mada kaambatanisha hata voice record kuonesha akisemacho kina chembe chembe ya ukweli? [emoji777]

Kama vyote hivyo hakuna kwanini tusihitimishe kuwa mleta mada kaleta uzushi?
💩
 
Kwa akili za kitopolotopolo ni kwamba Man City ni timu dhaifu ndio maana imetolewa nusu fainali,au naongopa wana utopolo [emoji851]?
Ndio maana jamaa kaanza keanza kwenye mzizi wenyewe ambalo ni vigezo vipi vinaifanya iitwe dhaifu ndipo mtafikiana muafaka
 
Hili wala sio jambo jipya kwa Tanzania team za mikoa yote zinauzwa na viongozi wao, mashabiki wao kila wakikutana na hawa wakubwa hili ni shida sana na hakuna solution. Tanga, Arusha, Mwanza wameuwa team zao kwa mtindo huu. Kwanini usishangilie team yako ya nyumbani ishinde bila kuathiri mahaba yako kwa team zako. Wakati Gama mkuu wa mkoa wa Tabora alikuwa nyuma ya Milambo 100% na wakati yuko Songea Maji maji 100% wakawa tishio sio kwamba hakuwa Simba au Yanga lakini alisimama nyuma ya team za mkoa wake, leo mbunge mfano wa Tanga utasikia mimi Simba au Yanga badala ya kusema mimi Coastal au African sports. Sio dhambi kupenda ma giant halina ubishi lakini penda team yako ya nyumbani. Iko wapi CDA? Iko wapi Pamba? iko wapi African sports hawa walikuwa team kubwa Tanzania majina makubwa lakini fitna mpaka wameuwa team zote, team zilikuwa zina fan base kubwa tu badala ya kuziendeleza wakaziuwa. Kuwa na team bora za ushindani kila mkoa inatoa ushindani na fursa kwa vipaji kupata nafasi.
 
Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app

Hebu waza wewe ni yanga,manara ni yanga,sjui kuna mtu anaitwa shetani wa yanga,mara kuna mwingine alitaka kumpa tako mayele,kuna lingune liliangua kilio kabisa na kuzimia nalo ni yanga...HAYA NANI NI MJINGA KATI YA YANGA NA SIMBA USISAHAU MZEE WA MSOGA NAYE NI YANGA
 
Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Wajinga ni wale wanaoendaga Airport kupokea timu pinzani na kuishabikia badala ya kuweka utaifa kwanza. Mbaya zaidi hiyo timu ikifungwa pale kwa mkapa huwa hawawasindikizi wifi zao kama walivyo wapokea!! Sijataja timu/ kikundi cha wanawake wajasiriamali chochote
 
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.

Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.

Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Haya, ameuza sasa, na matokeo yameonekana! Kunywa sumu ufe.
 
Back
Top Bottom