OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Je mleta mada kaambatanisha picha kama ushahidi? [emoji777]Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.
Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.
Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Sio suala la mikia fc sasa hivi mnastruggle kwasababu hakuna bahasha, kila timu inapambana isishuke daraja.mikia fc bwana
Bahasha hazina nafasi ndiyo maana mnahangaika. Timu zote ukiondoa utopolo na Simba yyte anaweza kushuka daraja. Kila timu inapambana isishuke daraja.Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Na nyie mli struggle kwasababu gani?Sio suala la mikia fc sasa hivi mnastruggle kwasababu hakuna bahasha, kila timu inapambana isishuke daraja.
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.
Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
That means Simba alipewa bahasha mechi ya Kagera sugar, Mbeya city si ndio?Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili Dodoma Jiji isiwafanye vibaya Utopolo wenzio.
Tunajua hatuwezi kukufanya chochote ila huo sio uanamichezo bali ni ushenzi kutaka kutumia cheo chako kupata matokeo
Mpaka leo mimi nawaza hilo na bado sijapata jibu.Hivi Kwa nini mashabiki wa Simba Tu ndo Wajinga wajinga?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app