Ingia CCM jishughulishe sana na mambo ya chama, fursa kibao.
Nipo tangu 2005, ukiwa mtumishi mfumo au majukumu yanakubana kujishughulisha na siasa za vyama.......ukiingia kwenye mchuano wa kuwania ubunge unakutana na figisu kibao, mara utaambiwa umetoroka kazini na maneno kibao ili mradi usifurukute, balaa...