Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
well behaved women do not make historyUlishawahi kumpa ajira mwenye nyapu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
well behaved women do not make historyUlishawahi kumpa ajira mwenye nyapu?
Tatizo lenu machadema mnataka kila mtu amlaumu Magufuli,Kwani umekatazwa kujiua siujiue tu.
Utakuwa umetupunguzia mazezeta yanatotumalizia hewa ya oksijeni.
Mkuu nadhani dictator mmja toka taifa fulani lililoko afrika mashariki ambalo wengi wao wanaongea swahili, ambaye huyu didcator hasafiri mataifa ya nje, na sababu anasema ni kutuza hela za walipa kodi ila sisi tunajua sababu kuu ni kuwa hawezi ongea english, anasoma hii maadiko umeadika, next arab spring atakuwa moja wa kungolewaNimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Huna lolote wewe.porojo tuSikubaliani kwamba tatizo ni ajira. Ajira kweli hamna lakini sio kwa kiwango cha kuamua kujiua. Huyu mtu ana shahda ya Sayansi ya Compyuta bado anatafuta ajira kweli?
Itakuwa alikuwa na vyeti lakini uwezo hana. Alifaulu darasani na huenda alikuwa the best kwenye mitihani kwa sababu vyuo vyetu Tz vinakuandaa kuwa na uwezo wa kukariri na ukikariri vizuri unaitwa the best ila kichwani hakuna kitu.
Mie naomba kama kuna kijana anataka kujiua na amesoma kompyuta hasa na uwezo anao aje nimwambie cha kufanya, niko serious, nataka nimuoneshe huyu kijana ajira ilipo. Haya njooni hapa nyie wa Computer science mnaotaka kujiua kwa sababu hamuoni ajira.
Niko dsm ila kwa sikukuu hizi niko mwanza
Kawaiyo wewe kuishi dar unajiona mjanjaa? EtiShida watu wa mikoani wanauonaga wakifika UDSM ndo wamemaliza kila kitu..mmoja wao ni huyu hapa ambae hua hakomi kuwananga watu waliosoma vyuo tofauti na UDSM, maisha mtaani hayaangalii umesoma wapi chuo kwa hio kozi aliosoma huyu bwana ingemuwesesha kufanya mambo mengi mazuri mazuri sema ndo vile amekosa exposure...
Nitumie namba yako pm nitupe mzigo wa maana ila unitumie na kapicha.Mbona hujawahi kunihonga mkuu?
Very true my brother, lakini shinda iko hapa pascal, ukiangalia katika vyuo vingi hapa tz na hata kenya utakuta vinafundisa watu ambao huo mfumo wa elimu ni wa kufanya mtu aajiriwe, wala sio ajiajiri au atengeneza ajira, in short we are training people and producing graduates who can neither THINK or REASON, and these are the 2 critical things needed in todays world,we dont have critical thinkers among many graduates, hence matokeo ndio haya,Sasa niambie mtu ako na degree ya computer science YET he is waitting to be hired by someone instead of thinking how he can not only hire himself but aslo hire others,And this explains as to why in tz we are not seeing a rise in STARTUPS, people are only looking to be hired,That era of going to uni thinking you will be hired is GONE, and yes in germany the education system here allows even one to study while working, aslo here no one bothers if she or he gets admission to uni, most companies hires you, you train while they pay you and then after say 3 years you graduate and you now work for that firm, and thats why you find german is a market leader in most products, but question is can you sell such an idea to a regime that only want to show the world they can do without anyones advice?But aslo our uni lecturers i think are not teaching students how to think, analyis and be strategic in their day to day life, finally where was this young man getting money to buy alchol, my point morals are aslo lacking, alchol taking solves NO problemRIP Kijana Ally.
Mungu aiweke tuu roho pema peponi.
Haya ni matokeo ya watu kuvamia fani, kwenye ulimwengu huu wa compyuta, mtu una degree ya computer science unasubiri kuajiriwa?.
Kifo hiki ni wake up call vyuo vyetu vikuu vipunguze kufundisha theory, twende kwenye kufundisha skills mtu akihitimu anakuwa equipped with skills na kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa.
Kwenye masomo technical tufuate system ya Ujerumani ya apprentiship au uanagenzi, watu wakimaliza shule wanaanzia apprentiship program wakiisha
onyesha uwezo ndipo anaripoti chuo.
P
Ni msongo tu ulompelekea uchizi
kwani pombe alikuwa anapewa bureMaskini. Apumzike kwa amani. Hakuna kitu kinatia mawazo kwa mtoto wa kiume kama akose chanzo cha pesa.
Mbona hii ghorofa INA onekana sio refu sana RIP kijanaKaka tunza hizo takataka kwenye kichwa chako maana ndo sehemu yake,
Rudi kwa ras simba broo!
Daaah,hatari sana!Kama una roho nyepesi
Tafadhali usifungue.
Video ya muhitim alie jirusha Rock city mollView attachment 974065
Very true my brother, lakini shinda iko hapa pascal, ukiangalia katika vyuo vingi hapa tz na hata kenya utakuta vinafundisa watu ambao huo mfumo wa elimu ni wa kufanya mtu aajiriwe, wala sio ajiajiri au atengeneza ajira, in short we are training people and producing graduates who can neither THINK or REASON, and these are the 2 critical things needed in todays world,we dont have critical thinkers among many graduates, hence matokeo ndio haya,Sasa niambie mtu ako na degree ya computer science YET he is waitting to be hired by someone instead of thinking how he can not only hire himself but aslo hire others,And this explains as to why in tz we are not seeing a rise in STARTUPS, people are only looking to be hired,That era of going to uni thinking you will be hired is GONE, and yes in germany the education system here allows even one to study while working, aslo here no one bothers if she or he gets admission to uni, most companies hires you, you train while they pay you and then after say 3 years you graduate and you now work for that firm, and thats why you find german is a market leader in most products, but question is can you sell such an idea to a regime that only want to show the world they can do without anyones advice?But aslo our uni lecturers i think are not teaching students how to think, analyis and be strategic in their day to day life, finally where was this young man getting money to buy alchol, my point morals are aslo lacking, alchol taking solves NO problem
Ni kweli kwani ni awamu hii tu watu wameanza kujiua kwa ajili ya matatizo binafsi! Miaka ya nyuma watanzania walikuwa hawajiui na hakuna aliyekuwa na tatizo lolote!So sad aiseee....
Hizi damu zitamlilia Jiwe maisha yake yote...
Apumzikekwa amani kijana yatima...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji47][emoji47][emoji47][emoji47]R.I.P Msukuma
Sehemu ya watoto kuchezea