Naye alikufa kwa ulevi?!Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazz wa Tunisia
Ndio ujiue jamani? Usomi wake umemsaidia nini, alikuwa anatambua kabisa kuwa ajira ni ngumu..ameshindwa kujiajiri mwanaume mzima?Maskini. Apumzike kwa amani. Hakuna kitu kinatia mawazo kwa mtoto wa kiume kama akose chanzo cha pesa.
Sure aiseeh.Ana matatizo ya akili asisingizie ajira
we mtaji wako unatembea nao (just kidding).........yawezekana yeye alikosa alternative ya kupata pesa kabisa mpk akachukua maamuzi magumuNdio ujiue jamani? Usomi wake umemsaidia nini, alikuwa anatambua kabisa kuwa ajira ni ngumu..ameshindwa kujiajiri mwanaume mzima?
Mama kuna wengine wanakosa option kabisa. Wengine wanaamua kuwa wanawake tu wapate chochote kitu.Ndio ujiue jamani? Usomi wake umemsaidia nini, alikuwa anatambua kabisa kuwa ajira ni ngumu..ameshindwa kujiajiri mwanaume mzima?
Pesa ya pombe alizokuwa analewa ni mtaji tosha.we mtaji wako unatembea nao (just kidding).........yawezekana yeye alikosa alternative ya kupata pesa kabisa mpk akachukua maamuzi magumu
Kujiua tu kashakufuru. Awekwe alipochagua.RIP Kijana Ally.
Mungu aiweke tuu roho pema peponi.
P