Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mkuu kuna kipindi life linapinda hatar had unatafuta kaz ya kuuza mandaz bado mambo hayakai poa, usimlaumu sana marehemu huenda amejaribu kila njia akashindwa, alaf kibaya zaid akakosa washauri wa karibu... nasikia jamaa ni yatima, hana baba wala mama
May be. Lkn miaka 25 unakata tamaa ya maisha kihivyo, hata familia hajaanzisha Bado. Mimi sikubaliani na hiyo sababu labda Kama kuna mengine zaidi ya tuliyoelezwa.
 
This wat we call due point. Ila computer science PC uliyotoka nayo chuo ni mtaji tosha kitaa, unadesign business cards unatawanya stationeries zote mjin kwamba we ni kishoka. Utapigiwa Simu tu japo sio kila siku and utasurvive .yote tisa mambo ya jiwe haya "the future is not clear"
 
sana mkuu, huwa hawakosi hela ya kula hao, K zinagongwa hatar wanapata mkwanja, hata kaz hawakos kirahis kama sis[emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke kukosa Kazi amejitakiaa... Hapo vipi???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mjinga kabisa,and sisi wote tutakufa na tutamkuta bado yupo njiani bado hajafika mbinguni wallah!
amezingua big time!
 
Sijui ni kwanini. But nathubutu kumuita mpuuzi.
Sio mpuuzi mkuu, ukikaa na watu walio kwenye stage ya kuwaza kujinyonga ndo utajua hivi vitu ni real. Alikosa tu mtu wa karibu wa kumshauri. In hope Angekuwa na mwanamke wa kumliwaza na kumtia moyo asingefikia huko
 
Mkuu kuna kipindi life linapinda hatar had unatafuta kaz ya kuuza mandaz bado mambo hayakai poa, usimlaumu sana marehemu huenda amejaribu kila njia akashindwa, alaf kibaya zaid akakosa washauri wa karibu... nasikia jamaa ni yatima, hana baba wala mama
May be
 
Yaani maisha yangu mimi? Acha kabisa nife mwenyewe bora nitafute namna ya kuondoka naye. Najua wengi wata nishukuru.
 
May be. Lkn miaka 25 unakata tamaa ya maisha kihivyo, hata familia hajaanzisha Bado. Mimi sikubaliani na hiyo sababu labda Kama kuna mengine zaidi ya tuliyoelezwa.
Amini hivyo tu mkuu, mim mwenyewe kuna kipnd life lilikuw tight had nkataman nifanye maamuz kama yake ila nkapata washauri mapema, mtu unaomba hata kaz ya kujitolea ili upate uzoefu na bado unakosa, haya maisha acha tu[emoji26][emoji26]
 
Sio mpuuzi mkuu, ukikaa na watu walio kwenye stage ya kuwaza kujinyonga ndo utajua hivi vitu ni real. Alikosa tu mtu wa karibu wa kumshauri. In hope Angekuwa na mwanamke wa kumliwaza na kumtia moyo asingefikia huko
Yaah alikosa mshauri wa karibu ambae anaelewa Nini maana ya depression...
 
Amini hivyo tu mkuu, mim mwenyewe kuna kipnd life lilikuw tight had nkataman nifanye maamuz kama yake ila nkapata washauri mapema, mtu unaomba hata kaz ya kujitolea ili upate uzoefu na bado unakosa, haya maisha acha tu[emoji26][emoji26]
Jiueni tu jamani[emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kila anaelewa anatumia pesa yake kununulia kinywaji? Wangapi wanashinda kwenye mabaa hawana hata sent ila kila siku wanakunywa na kulewa?

Acha kukalili Mkuu, Kwenye Mabaa na Vilabu Vya Pombe Kuna Wapambe Na Washikaji ambao huwaga wanagongeana Kirafiki tu na Watu wanalewa bila kuwa na pesa.
Matumizi mabaya ya wapambe na marafiki mpambe wa kweli na rafiki ukimwambia sinywi naomba elfu 20 nikafungue genge ili nisiwaombe pombe tena aweza kupa hata laki moja bure Watu wanaonyweshana bure ni wafanyakazi na wafanyabiashara sababu wanajua mtu hata kama hela hana Leo kesho au mwisho wa mwezi atapata atawanywesha hadi wasahau kwao lakini sio jobless!!! Angekuwa mwanamke sawa unajua anakunywa bia za wanaume kupindukia ambazo atazilipa kwa mfumo wa kitandani. Hicho kidume jobless Nani akinyweshe bure?
 
Amini hivyo tu mkuu, mim mwenyewe kuna kipnd life lilikuw tight had nkataman nifanye maamuz kama yake ila nkapata washauri mapema, mtu unaomba hata kaz ya kujitolea ili upate uzoefu na bado unakosa, haya maisha acha tu[emoji26][emoji26]
Yani Mpaka ukipitia hiyo hali ndo unaweza Muelewa marehemu nini alipitia...
 
Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.

NA SASA HIZO NCHI ZINAENDELEAJE....VIJANA ACHENI KUTUMIKA NA MABEBERU....TUMIENI COMMON SENSE.....WAPI LIBYA SASA HIVI????
 
Back
Top Bottom