Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Duuuhhh pole MKUUU sanaa!!!.. Sema nn ,, achana naye !!!.

Humu hamna muoaji sana sana kakutana na mtumiaji , siunajua bado anataman naye alale namwanamme alokutana naye mtandaoni ???.

Sasa kwakua keshakuonyesha rangi yake halisi ,ACHANA NAYE ,FANYA MAISHA ...WASCHANA NIWENGI SANA ,KUNA WAPEMBA ,,KUNA WARANGI , KUNA WAIRAQ+WAARUSHA ,, KUNA HAWA WADODOMA WEUPE !!!.... SASA UNALALAMIKIA *DEMU MPUMBAVU* ASOJIELEWA ?????? .



aahhh bana BE A GENTLEMAN BANA ,,,MIMI NAAMIN WEWE NIBORA SANA ,,USIKATE TAMAA HUKO NJE KUNA MWANAMKE KILA SIKU ANAPIGA MAGOTI AKIOMBA WALAU SIKU MOJA UMSALIMIE TUUUU...SEMBUSE KADEMU KAJINGA JINGA AKO NDO KAKUSUMBUA ?????? YAAAN KADEM USIKUTE KANAWANAMME KIBAOOOOO ,KABAYAAAAA ,,,, IRREGULAR SHAPE ,, NDO KANAKUUMIZA ???? ALAFU NAHISI NIKABAYA MAANA HUMU JF HUMU ??? [emoji57] [emoji23]


KWELI WANAUME TUNATOFAUTIANA ...
 
Nilifikiri mke kumbe mchumba,tafuta mchumba mwingine.
 
Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Nimeelewa neno moja tu "ONYO".angalizo:-siku nyngne kataza badala ya kutoa onyo,maana unaemuonya yumo humu.si umkataze tu.ndo tatizo la kuwa na kibamia ama koroboi yenye mafuta kidogo,wakat jiran ana umeme.unaishi kama bima ya gari,maana haibanduki kwa kioo lakin inasaidia kwa matatizo hayo hayo ya gari.kizur unakula na mwenzio maana hujawaumba wewe hawa waja.mie nakukataza acha kutuonya wakat wewe mwenyewe haujajionya.Mugabe mkubwa weee
 
Aya ya pili mstari wa kwanza mkuu.. Pia aya ya tano yote. Mbona hizi Aya zinakinzana?? Kwa ushauri tu utakufa kwa jaka moyo,tafuta maisha mengine.
 
Dah, mwanaume mwenzangu naumia kitu kimoja tu ambacho umesahau VP? Kuhusu adamu na hawa VP kuhusu Samson na Delila sasa nakupa pole kwa kuunguza pesa hawa wanawake hawaeleweki atakuja kukuuza kwa being rahisi ukiwa usingizi kama Samson tena kwa jamaa Huyo huyo unae mlalamikia cha msingi mjaze mimba mapema usepe umwachie mtoto anakuja kulea na pesa zako ulizomsomesha we tafuta mwingine Hugo tayari ameshakua hopeless

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Halafu wewe mchizi maarifa mbona unaanza kuifokea dunia kisa mwanamke kitchetche?
Haujataja hata hiyo profile ya mme mwenziyo, ama huyo mwanamke ili tujaji.
Sa'sisi hiyo beef yenu unavyotuhusisha nayo inatuhusu nini?
Kiuhalisia wewe ni mtu dhaifu sana. Halafu unaonekana huyo mwanamke ulimfosi kukupenda kwa hila ya kuingilia majukumu ya wazazi wake ya kumsomesha! Hakuna penzi hapo, ni jeuri ya pesa.
Nani alikwambia mchumba anasomeshwa? Jukumu lako wewe ni kuoa na kutunza. Sasa hadi leo haujamuoa unangoja nini?
Nani alikwambia mchumba anachungwa? Yupo huru kubadilisha uamzi na kuweza kuolewa na mwanaume yeyote iwapo utaonekana unamzebeza na kisheria hauna mamlaka yoyote juu take.
Nikikwambia haufai kuoa huyo mwanamke, utasema ninakuvunjia adabu? Vijana wa siku hizi mbona mnaingiza uzungu sana kwenye mahusiano ya kiunyumba?
Huyo mwanamke umeanza naye vibaya na mwisho wenu utakuwa nu mbaya pia.


Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Njemba ya JF imeshavunja harusi ya Maharusi watarajiwa! Chezeya JF! Ungeimalizana na mke mtarajiwa badala ya kuja humu kuanika haya.

Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
 
Tuko wawili my dear!!!
Kuna uzi kule nimekuita. Njoo tu connect dots my dear
Nishawawaza wahusika wanaolalamikiwa,tena anae lowa kwa sms za jf kajianika kule njoo haraka[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kuna uzi kule nimekuita. Njoo tu connect dots my dear
Nishawawaza wahusika wanaolalamikiwa,tena anae lowa kwa sms za jf kajianika kule njoo haraka[emoji125][emoji125][emoji125]
KUMBE we nae mbea ivi mweeeeee....monicca fala sana
 
Back
Top Bottom