Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

Hamia Burundi kama unaona vipi, yule dikteta wenu wa Chato kafa na kama unampenda zaidi nenda kazikwe naye siye twala nchi,ni zamu yetu sasa.Tumevuta hela na tunaendelea kula pesa nyie wananchi mnaojiita wanyonge pambaneni na hali zenu.Mnategemea sisi wanasiasa wapinzani tuwatetee? Kwa lipi yaani,tozo ni lazima ziwepo na ni lazima ziongezwe maana serikali haina shamba itapata wapi mapato?Mama Samia na Serikali yake ya awamu ya sita imefanya mengi sana mazuri ndani ya kipindi kifupi mno cha uongozi na inaendelea kufanya mengi ila kuna wachache wanaojifanya kutoona.Mama Samia chapa kazi,siku moja watakuelewa.
 
Hamia Burundi kama unaona vipi, yule dikteta wenu wa Chato kafa na kama unampenda zaidi nenda kazikwe naye siye twala nchi,ni zamu yetu sasa.Tumevuta hela na tunaendelea kula pesa nyie wananchi mnaojiita wanyonge pambaneni na hali zenu.Mnategemea sisi wanasiasa wapinzani tuwatetee? Kwa lipi yaani,tozo ni lazima ziwepo na ni lazima ziongezwe maana serikali haina shamba itapata wapi mapato?Mama Samia na Serikali yake ya awamu ya sita imefanya mengi sana mazuri ndani ya kipindi kifupi mno cha uongozi na inaendelea kufanya mengi ila kuna wachache wanaojifanya kutoona.Mama Samia chapa kazi,siku moja watakuelewa.
Na hili pia mkalitizame
 
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

Tablet zinazo tumiwa na makarani ni za kiwango cha chini sana lakini nasikia zimeandikiwa pesa ndefu wakati huo kuna watu wanajiita TAKUKURU wapo kuna usalama wapo sasa sijui kazi zao huwa ni zipi kama madili ya kuiba fedha za umma yapo mengi tuu na wao wapo tu.

Makarani wengine hawajalipwa pesa zao hadi sasa na wengine wamepunjwa kwenye pesa ya chakula.

Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza.
Toa ushahidi wa haya usemayo
 
Unajifanya unajua wakati hujui kitu chochote kuhusu sensa ya mwaka huu. , mada imekuzidi hii ndio maana unadhani ninapo sema vifaa wewe unajua tablet tuu kwani nani asiyejua kuwa sensa ya mwaka huu wanatumia vishikwambi?
Ungejua usingebwabwaja! Nimeshiriki sensa tangu ya 1988 bwashee na akina Mzee Ngalaba kama hujui
 
Ebu eleza vtu vizur acha ushabiki toa maelezo yene kueleweka na wasio jua wajue nn ttzo
Ela za chakula shingap walipaswa kupewa na wamepewa kias gan?
Pesa za posho na kaz nzima ya sensa walipanga walipwe kias gan na wamelipwa vp
Vitendea kazi ambavyo vinaitajika na havijapatikana ni vp ambavyo mawakala wanalalamikia
Tuache chuki za hovyo na km kuna ttzo sehemu tulieleze sio kuongea kishabiki

Sensa inafanyika Tz nzima mnataka kutwambia pesa ya chakula anayopewa mtu wa singida ni sawa na yule wa Arusha
Je malipo ya wakala wa Mtwala ni sawa na malipo ya mtu wa Dar es salaam
40k per day country wide
 
Braza jiongeze,hata mabalozi wanaotembea na makarani wamegoma sababu wameambiwa watalipwa elfu tano kwa siku( yaan chukulia mzazi wako azurure kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 11 jion kwenye jua kali alafu apewe hiyo hela!!!!)

Pili mpaka sasa reflectors, chalks na daftar hawajapewa,wilaya nyingi makarani wa sensa hawajalipwa FEDHA ZA NAULI WALIZOTUMIA KIPINDI CHOTE CHA SEMINA..
nikweli IAM one of them ninaloishi na nilipopangwa kusimamia ni zaidi ya 50 kilometers then ushagoo rough road no transport no payments daah kazi ipo
 
Nchi hii tumeshaipiga mnada. Tutaendeshwa kama mkokoteni. Hakuna mtetezi tena.
Bibie wanampelekesha kama gari bovu.
Wanamtengenezea mchanganuo wa manunuzi wa kihuni, na yeye anakubali tu na anaidhinisha fedha.
Kumbe karibu 3/4 ya fedha hizo ni MPIGO tu.
Mzee JIWE ilikuwa ukimpelekea mchanganuo wa manunuzi wa kidili dili unaweza ukakuta unafutwa kabisa kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa anajitosheleza kichwani.
NENO KUBWA SANA... Mzilankende miyago kichwan hakika alijitosheleza,na palipo na ugumu alitafuta watu nje ya ya system wamsaidie ili asipigwe..
Kifupi Mzilankende alikaa kishamba kimuonekano na kimatamshi ILA kichwani alikuwa vizuri sana
 
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

Tablet zinazo tumiwa na makarani ni za kiwango cha chini sana lakini nasikia zimeandikiwa pesa ndefu wakati huo kuna watu wanajiita TAKUKURU wapo kuna usalama wapo sasa sijui kazi zao huwa ni zipi kama madili ya kuiba fedha za umma yapo mengi tuu na wao wapo tu.

Makarani wengine hawajalipwa pesa zao hadi sasa na wengine wamepunjwa kwenye pesa ya chakula.

Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza.
Sema kiukweli wakuu.. bila kudanganyana sahii nnchi inaonekana kupoteza dira vibaya mno na wananchi wenyewe sasa wanaisshia kubweka mitandaoni tuu..

No wonder Kenya hapa wanatuona sisi ni viazi.. yani tumekubali ujinga ilituishi kwa amani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sema kiukweli wakuu.. bila kudanganyana sahii nnchi inaonekana kupoteza dira vibaya mno na wananchi wenyewe sasa wanaisshia kubweka mitandaoni tuu..

No wonder Kenya hapa wanatuona sisi ni viazi.. yani tumekubali ujinga ilituishi kwa amani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpaka sasa vifaa vingne bado havijafika eneo la kazi..chukulia mpaka jana fomu za kujaza watu waliolala gesti hazikuwepo? Haya leo utawapataje waliolala jana gesti na mahotelini...? Hii ngoma hawajiandaa kabsaa

Alafu anatokea mpuuzi mmoja anakwambia unahitaji kifaa gani nje ya tablets..?
 
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

Tablet zinazo tumiwa na makarani ni za kiwango cha chini sana lakini nasikia zimeandikiwa pesa ndefu wakati huo kuna watu wanajiita TAKUKURU wapo kuna usalama wapo sasa sijui kazi zao huwa ni zipi kama madili ya kuiba fedha za umma yapo mengi tuu na wao wapo tu.

Makarani wengine hawajalipwa pesa zao hadi sasa na wengine wamepunjwa kwenye pesa ya chakula.

Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza.

polokwane mkuu acha kulia namna hiyo [emoji16][emoji16] mama anaukung’uta mwingi !!! CCM oyeeeeee !!! Dadadeki !!!
 
Sema kiukweli wakuu.. bila kudanganyana sahii nnchi inaonekana kupoteza dira vibaya mno na wananchi wenyewe sasa wanaisshia kubweka mitandaoni tuu..

No wonder Kenya hapa wanatuona sisi ni viazi.. yani tumekubali ujinga ilituishi kwa amani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa sasa watanzania wengi wameamua kujiliwaza kwenye mpira na mziki ili kujiliwaza baada ya nchi Yao kuwa ngumu
 
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

Tablet zinazo tumiwa na makarani ni za kiwango cha chini sana lakini nasikia zimeandikiwa pesa ndefu wakati huo kuna watu wanajiita TAKUKURU wapo kuna usalama wapo sasa sijui kazi zao huwa ni zipi kama madili ya kuiba fedha za umma yapo mengi tuu na wao wapo tu.

Makarani wengine hawajalipwa pesa zao hadi sasa na wengine wamepunjwa kwenye pesa ya chakula.

Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza.
Ni kula kwa urefu wa kamba,mpaka tufike 2025,tutajua huyu mama hakuna kitu,hawezi uongozi,ni janga kwa nchi yetu,huyu ilibidi awe mwenyekiti wa NGO,au kata tu,sasa uraisi,ni shida tupu.
 
Watu wengi hawajahesabiwa kwa siku ya leo.
 
Back
Top Bottom