Duuh🤔, hapa naona bora mimi katika umri ule.Yes mkuu ,aliweka ndani na mtoto wa kiepemba kwa mda ,michepuko bongo movie huko ,akanunua na gari LA kuuzia sura ....no income generating asset ya aina yoyote ........
Kwanza alikuwa anatembea na kundi LA vijana kama 5 hivi mda wote .......akimpenda mrembo anaenda posa na kuacha ,kanunua sana pikipiki kwa mashemeji kuwapa ajira...
Bado aririthi daladala ndogo.....
Kweli maisha ni akili sio pesa pekee
Aisee , ulipata mkopo mkubwa sana. Mi ningeupata huo au hata nikiupata sasa hivi God willingly nitapiga hatua kubwa sana.
Anyway, asante kwa kushea mkuu ila umenifundisha mambo mengi sana. Kujitambua ni mzigo sana kwetu sisi vijana. Tukizipata lazima totoz tuzifagie kweli kweli. Ila wakati mwingine tunalipiza tu kutokana na machungu tunayopitia wanavyotutosa tukiwa majalala tunaumia sana. Sikulaumu kaka. It was more than a foolish age lakini hukuwa na jinsi. Uliwafagia sawa sawa kwa sababu ya hasira uliyokuwa nayo. Naamini kwa sasa umeshaiacha hiyo tabia. Like you said, ulikuwa ni ujana tu
Haha Kweli aiseeKila mtu husema hivi kabla hajazipata ila akishapata matendo uwa tofauti
shukuru wazazi/walezi wako..Watu wanachelewa sana shule. Mimi nimemaliza degree tena ya miaka 4 na miaka 23, 24 kazini.
hahah, wewe jamaa wewendio maana yake coz bata moja huanzisha ingine
HAHAHAHAHA . . respect mkuuhahah, wewe jamaa wewe
hongera kwa kujitambua mapemahahah, wewe jamaa wewe
Pesa zijui zina shetani ganiKila mtu husema hivi kabla hajazipata ila akishapata matendo uwa tofauti
mkuu elezea kwa kifupi hii storyKwa tathmini yangu isiyoratibiwa nimeona watu wengi tuliokopa Pesa Benki, matumizi yake hayakuzaa matunda. Sasa sijui zinakuwaga na KIGUNDU au ni Nini. Maaana hata Kama unakuwa na mikakati mizuri ile mipango inaenda kuvurugika mwishoni.
Nilikopa nikaingia shambani, nikalimudu shamba vizuri tu. Niligawanya pesa mafungu matatu, kwa maana katika vilimo 3 kwa mikoa mitatu tofauti na wasimamizi 3 tofauti Mimi mwenyewe Kama mratibu ila pia nilikuwa msimamizi wa kitunguu huko iringa.
Kilikuwa kilimo Cha kiangazi, niliondoka na gunia za kutosha tu. Mzigo unaenda kuuzwa Zanzibar, Kipindi hiyo gunia imefika 120,000/= DAAAH MUNGU SI ATHUMANI SIKUPOKEA HATA MIA KWENYE ULE MZIGO.
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angalau ulifaidi papuchi.. Mie niliingiza 22M kununua gari ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja, nikaishia kuuza screppa Kariakoo.... Huna haja ya kujilaumu.. Mambo yote ni ubatili.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mm juzi tu demu wangu wa kimbulu alikuja geto eti kufumania kwa kuanza kupasua pasua madirisha ya vyoo. Ndani kulikuwa na demu wangu wa kinyaturu. Mziki wake usipime. Nameamua kuwatosa wote.
Nilimcheka jamaa yangu pale DSM kwa kuwagongesha madem zake wanne kwenye geto walichofanya ni kuanza kumpiga msera.
Jamaa sasa hivi nasikia ni mchungaji
Maninaaaa[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787]Kwa umri huo hujachelewa. Mm nashukuru Mungu kipato kidogo na maisha yalivyomagumu hata mboo haisimami nikimwona mwanamke. Nashangaa kuona watu wanatafuta dawa kuongeza nguvu za kiume wakati wenzao tunaomba na kufunga Mungu atuondoe nguvu za kiume na tamaa za ngono zisitujie maana isije ikatuletea mauti na majuto mbeleni.
Vitu vfupi vyeupe[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee!
Hela ulioichezea inauma sana. Umenikumbusha mbali sana, naumia sana imeniletea mpaka Insomnia.
Ufahari, Umalaya, Ulevi vimeniletea hasara kubwa sana maishani. Muda niliopoteza sitoweza upata tena. Nilisanuka Ufahari na Pombe nikakatilia mbali. Umalaya nikapunguza kwa 99% hii 1% iliyobaki ni ugonjwa wangi na vitu vifupi vyeupe.
Sina ile hela tena lakini walahu nina amani. Pressure ndogo ndogo tu za kawaida basi.
Bandiko lako limenitonesha aisee
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] huu uzi banaHili bandiko lako naomba walimu, mahakimu, polisi na watu wa afya wangeliona kwa kuwasaidia kama una rafiki ama ndugu kutoka katika sekta hizi umtag jamani.
Hapa niko baa na ka mwalimu fulani mpaka huruma kwa future yake asee
Hili linaniumiza zaidiLooh, Sisi wengine tuna miaka mingi kazini lakini tumechakaa kwelikweli tunafanya kazi tembo malipo sisimizi na serikali hiihii
[emoji849]
DuuhHii ni kama alert asee.
Mwaka jana nikiwa na umri kama wako nilibahatika kupata job flani ya hela ya maana ,yaani nilipiga dollar balaa.
Leo hii mwaka mmoja baadae sina ninachomiliki zaidi ya hii simu na geto la 50k ,kazi imeenda na Corona.
Lakini nimeamka sikati tamaa
We jamaaa acha kujilaumu uko sawa tu,umeoa,unawatoto wakubwa bado una kazi nzuri,una mke anakupenda.pole sana ndugu lakini bado hujachelewa sana.
umri wetu bado unaruhusu kufanya makubwa.