Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Yes mkuu ,aliweka ndani na mtoto wa kiepemba kwa mda ,michepuko bongo movie huko ,akanunua na gari LA kuuzia sura ....no income generating asset ya aina yoyote ........

Kwanza alikuwa anatembea na kundi LA vijana kama 5 hivi mda wote .......akimpenda mrembo anaenda posa na kuacha ,kanunua sana pikipiki kwa mashemeji kuwapa ajira...

Bado aririthi daladala ndogo.....


Kweli maisha ni akili sio pesa pekee
Duuh🤔, hapa naona bora mimi katika umri ule.
Huyu kachezea pesa wakati hana chanzo Cha kumuingizia hizo pesa aisee


Ujana ni shida sana
 
Kila mtu husema hivi kabla hajazipata ila akishapata matendo uwa tofauti
Aisee , ulipata mkopo mkubwa sana. Mi ningeupata huo au hata nikiupata sasa hivi God willingly nitapiga hatua kubwa sana.
Anyway, asante kwa kushea mkuu ila umenifundisha mambo mengi sana. Kujitambua ni mzigo sana kwetu sisi vijana. Tukizipata lazima totoz tuzifagie kweli kweli. Ila wakati mwingine tunalipiza tu kutokana na machungu tunayopitia wanavyotutosa tukiwa majalala tunaumia sana. Sikulaumu kaka. It was more than a foolish age lakini hukuwa na jinsi. Uliwafagia sawa sawa kwa sababu ya hasira uliyokuwa nayo. Naamini kwa sasa umeshaiacha hiyo tabia. Like you said, ulikuwa ni ujana tu
 
Kwa tathmini yangu isiyoratibiwa nimeona watu wengi tuliokopa Pesa Benki, matumizi yake hayakuzaa matunda. Sasa sijui zinakuwaga na KIGUNDU au ni Nini. Maaana hata Kama unakuwa na mikakati mizuri ile mipango inaenda kuvurugika mwishoni.

Nilikopa nikaingia shambani, nikalimudu shamba vizuri tu. Niligawanya pesa mafungu matatu, kwa maana katika vilimo 3 kwa mikoa mitatu tofauti na wasimamizi 3 tofauti Mimi mwenyewe Kama mratibu ila pia nilikuwa msimamizi wa kitunguu huko iringa.
Kilikuwa kilimo Cha kiangazi, niliondoka na gunia za kutosha tu. Mzigo unaenda kuuzwa Zanzibar, Kipindi hiyo gunia imefika 120,000/= DAAAH MUNGU SI ATHUMANI SIKUPOKEA HATA MIA KWENYE ULE MZIGO.
 
Kwa tathmini yangu isiyoratibiwa nimeona watu wengi tuliokopa Pesa Benki, matumizi yake hayakuzaa matunda. Sasa sijui zinakuwaga na KIGUNDU au ni Nini. Maaana hata Kama unakuwa na mikakati mizuri ile mipango inaenda kuvurugika mwishoni.

Nilikopa nikaingia shambani, nikalimudu shamba vizuri tu. Niligawanya pesa mafungu matatu, kwa maana katika vilimo 3 kwa mikoa mitatu tofauti na wasimamizi 3 tofauti Mimi mwenyewe Kama mratibu ila pia nilikuwa msimamizi wa kitunguu huko iringa.
Kilikuwa kilimo Cha kiangazi, niliondoka na gunia za kutosha tu. Mzigo unaenda kuuzwa Zanzibar, Kipindi hiyo gunia imefika 120,000/= DAAAH MUNGU SI ATHUMANI SIKUPOKEA HATA MIA KWENYE ULE MZIGO.
mkuu elezea kwa kifupi hii story
 
Vijana tuna tabu sana katika matumizi ya pesa ambazo hatujawahi kuzishika, nimemuona jooohs nae kwenye uzi wake
 
Mm juzi tu demu wangu wa kimbulu alikuja geto eti kufumania kwa kuanza kupasua pasua madirisha ya vyoo. Ndani kulikuwa na demu wangu wa kinyaturu. Mziki wake usipime. Nameamua kuwatosa wote.

Nilimcheka jamaa yangu pale DSM kwa kuwagongesha madem zake wanne kwenye geto walichofanya ni kuanza kumpiga msera.

Jamaa sasa hivi nasikia ni mchungaji
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa umri huo hujachelewa. Mm nashukuru Mungu kipato kidogo na maisha yalivyomagumu hata mboo haisimami nikimwona mwanamke. Nashangaa kuona watu wanatafuta dawa kuongeza nguvu za kiume wakati wenzao tunaomba na kufunga Mungu atuondoe nguvu za kiume na tamaa za ngono zisitujie maana isije ikatuletea mauti na majuto mbeleni.
Maninaaaa[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787]

Nimecheka mpaka nikatapika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee!

Hela ulioichezea inauma sana. Umenikumbusha mbali sana, naumia sana imeniletea mpaka Insomnia.

Ufahari, Umalaya, Ulevi vimeniletea hasara kubwa sana maishani. Muda niliopoteza sitoweza upata tena. Nilisanuka Ufahari na Pombe nikakatilia mbali. Umalaya nikapunguza kwa 99% hii 1% iliyobaki ni ugonjwa wangi na vitu vifupi vyeupe.

Sina ile hela tena lakini walahu nina amani. Pressure ndogo ndogo tu za kawaida basi.

Bandiko lako limenitonesha aisee
Vitu vfupi vyeupe[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hili bandiko lako naomba walimu, mahakimu, polisi na watu wa afya wangeliona kwa kuwasaidia kama una rafiki ama ndugu kutoka katika sekta hizi umtag jamani.

Hapa niko baa na ka mwalimu fulani mpaka huruma kwa future yake asee
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] huu uzi bana
 
Hii ni kama alert asee.
Mwaka jana nikiwa na umri kama wako nilibahatika kupata job flani ya hela ya maana ,yaani nilipiga dollar balaa.
Leo hii mwaka mmoja baadae sina ninachomiliki zaidi ya hii simu na geto la 50k ,kazi imeenda na Corona.
Lakini nimeamka sikati tamaa
Duuh

Pole sana mkuu
 
pole sana ndugu lakini bado hujachelewa sana.
umri wetu bado unaruhusu kufanya makubwa.
We jamaaa acha kujilaumu uko sawa tu,umeoa,unawatoto wakubwa bado una kazi nzuri,una mke anakupenda.

Kinachokusumbua ni msoto uliopitia kulipa madeni,pili jamaa unaofanya nao kazi wako mbali.

Tupa kule papuchi nazo tamu uli enjoy dogo safi sana.

Starehe zote ushapiga sasa unapiga maisha,hakuna cha kujutia hapo mbona!

Mie naona uko kwenye right track tu pia mkuu wa sasa kabana sana alafu biashara tough posho na safari zimepunguwa.

So yote hayo yanachangia kukumbuka ya kale...

Relax huu ndio wkt wako wa kufanya maendeleo.
 
Back
Top Bottom