Does going to heaven or hell have scientific evidence or verifiable data??Lacks scientific evidence or verifiable data
Mkuu Mungu alipomuumba Adam na Eva aliumba roho ngapi ambazo mpaka leo hazijawahi kuongezeka wala kupungua?Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine
Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia
Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]LRP yako ilifeli ukabaki na kumbukumbu?
Hapa kidogo wewe umeweka vizuri, kumbe ilikuwa ni ndotoBaba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa
Khaaa jamaniKama mbingu ipo basi iwe na mazingira kama ya Avatar., 😊
Nb, sitaki Kabisa kuja kuzaliwa katika hii dunia kwa mara nyingine. I'm done with it.
Kama roho ni zile zile, why population inaongezeka?Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine
Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia
Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Nisizaliwe Tu Bongo! Heri nizaliwe hata Somalia kuna watu kule Wana akiliNiwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Maswali mazuri, ila kama ni kweli kuna baadhi ya kumbukumbu zitakuwa zinabaki...Umesema kuwa kumbukumbu zinafutika. Je, wewe umeweza kukumbukaje kuwa ulikuwepo na ukazaliwa upya? Au watu huzaliwa upya baada ya hicho kipindi? Kuna yeyote aliyekwisha kukusimulia kuhusu maisha yake ya nyuma ili hali umesema kumbukumbu hufutika? Na ni kwa nini ichukue miaka 100 wakati ukifundishwa kitu au hesabu au physics shuleni kabla ya mtihani au CAT umeshasahau kabla hata semester/term kwisha?
Mkuu na pia vipi hata kuhusu "cloning" na mazagazaga mengine ya kisayansi!?Vipi kuhusu uwepo wa uzazi wa mpango ambao unaenda kinyume na flow ya kuzaliana ya kawaida, je, nao umechangia kuwania baadhi ya wafu wasirudie tena duniani?
Vipi kuhusu mimba zinazotolewa, hao wanaotolewa wangali hawajakamilika nao hutumia miaka hiyo hiyo ili warudi tena duniani, au chap chap huzaliwa kwingineko
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Miti itakuhusu sana maana mambo yatakuwa yamepinduka tena.ulikuwa ME baada miaka 100 umekuwa KE alafu ulikuwa playboy kweli
Kama hivyo sitaki yaani ninavyoifadi mbunye nijekuwa demu, bora nikipotea nipotee mazimaNa kama ulikua kidume una badili jinsia unakua wa kike.
Mimi nakumbuka kabla ya maisha yangu ya sasa awali niliishi kwenye jua.Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa
Simply idadi ya watu isinge ongezeka