Hizb Tahrir Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 18, 2020
- 258
- 235
- Thread starter
- #61
Iwe na Waislamu wengi, nguvu za kijeshi na kiuchumi. Mf nchi Kama Pakistan, Saudia, Iran, Uturuki, nk kwa sasaIli ianzie kuwa dola iwe na sifa gani ambazo hizo sifa zinaendana sifa za Nchi hizo za waislamu ?
Kwa nini ianzie huko khilaafa ?
Na hizo Nchi ni kama zipi ?