Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Jinai haifi, kama aliuza sembe ni lazima asemwe! Na ikibidi achunguzwe na hatua ichukuliwelet's stick kwenye ubunifu wa biashara yake mkuu course wangapi wanaweza pewa hiyo capital na wakashindwa fanya lolote?
Wamasahau kuwa jinai haifi, hata kama ameacha hyo biashara miaka 10 iliyopita as long as aliicanya basi ni lazima ashtakiwe tu!Biashara haramu iliyojificha nyuma inanifanya hata nisiangalie migahawa yake.
We jamaa ni mjinga sana, kwa kuwa hulazimishwi kutumia basi maana yake ni sahihi kuuza madawa ya kulevya???Acha zako ni wivu tu.
Mimi napenda sana fatilia watu wanao hustle na kufanikiwa na daima uwezi nikuta nikamfagilia mtu aliekuta pesa kwao akapewa aendeleze business watu kama kina MO kwangu uwa hawana mchango wowote nakua motivated na watu kama KFC, Jackmaa, Diamond coz wanazitafuta pesa unaona wanakula jasho lao na walipotoka panaeleweka.
kwa Kalito mimi naona nimpambanaji sana siwezi mtetea coz sijui nyuma ya pazia kuna nini ni mtu nliemfatilia huu ni mwaka wa 5 since ndo biashara yake inakua ya [emoji91][emoji91] of course jamaa anajichanganya sana na watu ata pale Mlimani kipindi anafungua nlimkuta yuko na wamasai na anabeba magogo kama sio boss
May be umesema anauza sembe kisa anaukaribu na watu baadhi inaosemekana wanauza sembe kama kina Kinje, japo kwangu mimi najua hawa ni baadhi ya watu walio msaidia idea ya mgahawa wake pamoja na mambo mengine.
Mwisho kabisa nasema tufanye kazi, ata iyo sembe ni kazi pia kupita na mzigo ukawa salama sio kitu kidogo kama unabisha kajaribu na wewe.
vijana au watumiaji hawalazimishwi kutumia bali ni upumbavu wao na ukosefu wa elimu za matumizi ya madawa ya kulevya ( unasema wanaua vijana wakati vijana nowdays wakikosa wanaenda kula mavidonge ya valium watoe alosto) so acha wivu usio jenga fanya hustle zako mkono uende kinywani
We jamaa, jua kuwa jinai haifi kama hajashtakiwa leo nasi atashtakiwa kesho! Suala sijui kapamnana na biashara mara sijui ana hustle sana hayo yote hayawezi kufuta jinai ambayo anayo!Kama huna ushaidi na hicho unachokidai mkuu, hoja yako itakuwa haina tofauti na maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa na mafundi washona viatu pale posta.
Shida yako kwake ni ipi mkuu? kuanzisha biashara kwa kutumia "pesa chafu" kama unavyodai au yeye kutumia ubunifu wake kufanikiwa kibiashara? Hapo la mhm na la kujifunza ni ubunifu wa biashara zake na vipi ameweza kuendelea ku survive na kuwa mfanyabiashara mkubwa ktk eneo hilo.
Lakini yakupasa ujue ya kuwa, kutoa pesa toka kwa source yyt ile, iwe halali au haramu na kuanzisha biashara, ni kitu kingine.....na kufanikiwa au kuifanya hy biashara ikue na kudumu ni kitu kingine.
Hakuna mfanyabiashara mkubwa hata mmj, ambae alianza au anaendelea kufanya biashara bila kufanya kitu kinyume na sheria na taratibu, ingawa mimi si advocate mabaya kwenye biashara, ila nachojaribu ni kuangalia mambo ktk jicho la tatu. Kuna wanaowadhulumu wafanyakazi wao, kuna wanaokwepa kodi, kuna wanaoua n.k.
Ila bado mimi sitaki kuamini kama inteligensia yako iko vzr sana, kuliko ya waliopewa mamlaka hayo, ambao hadi leo hawajampeleka mahakamani.
Nakusihi dada yangu fanya kazi kwa bidii mpk na wewe siku moja tuje tukuite majina kama freemason, tajiri wa ngadu, muuza sembe, punda n.k maana ndy tunayoyaweza, ila kwa sasa wacha jamaa atunyooshe sisi wavivu na waoga wa kuchangamkia fursa.
Adios!
We jamaa, jua kuwa jinai haifi kama hajashtakiwa leo nasi atashtakiwa kesho! Suala sijui kapamnana na biashara mara sijui ana hustle sana hayo yote hayawezi kufuta jinai ambayo anayo!
Vipi ameacha mambo ya kusambaza sembe!
AbeeeeWenye chuki,nongwa,husda na wivu wanasema kafanikiwa kwa sababu ya sembe.
Watanzania tuache uvivu tuwe wabunifu.
Ila dada nakupendaga sana vile umbea wote wa town unaujuaMission town huyu,aliutumia uzembe wa serikali zilizopita akatusua. Kama unavyojua wabongo wakiona mzungu.
Ushahidi tafadhaliBiashara haramu iliyojificha nyuma inanifanya hata nisiangalie migahawa yake.
Acha ujinga kwa mawazo haya ya ujima ndio maana wabongo wengi hawaendelei.Sembe!
Nakubaliana na wewe 100%,hawa watu huwa wanatudanganya sana na nilianza na kushona viatu,nilianza na mtaji wa elfu 10 mara nilianza na uhausigelo na bla bla bla kibao ,kumbe nyuma ya pazia kuna vitu walifanya wakapata greenlight(wakatusua),haiwezekani barman aje kuwa bilionea ,alikuwa analipwa Tsh ngapi kwa mwezi? Mtaji wa kuanzisha samaki samaki mlimani city ulitokana na mshahara wake?
Acha zako ni wivu tu.
Mimi napenda sana fatilia watu wanao hustle na kufanikiwa na daima uwezi nikuta nikamfagilia mtu aliekuta pesa kwao akapewa aendeleze business watu kama kina MO kwangu uwa hawana mchango wowote nakua motivated na watu kama KFC, Jackmaa, Diamond coz wanazitafuta pesa unaona wanakula jasho lao na walipotoka panaeleweka.
kwa Kalito mimi naona nimpambanaji sana siwezi mtetea coz sijui nyuma ya pazia kuna nini ni mtu nliemfatilia huu ni mwaka wa 5 since ndo biashara yake inakua ya [emoji91][emoji91] of course jamaa anajichanganya sana na watu ata pale Mlimani kipindi anafungua nlimkuta yuko na wamasai na anabeba magogo kama sio boss
May be umesema anauza sembe kisa anaukaribu na watu baadhi inaosemekana wanauza sembe kama kina Kinje, japo kwangu mimi najua hawa ni baadhi ya watu walio msaidia idea ya mgahawa wake pamoja na mambo mengine.
Mwisho kabisa nasema tufanye kazi, ata iyo sembe ni kazi pia kupita na mzigo ukawa salama sio kitu kidogo kama unabisha kajaribu na wewe.
vijana au watumiaji hawalazimishwi kutumia bali ni upumbavu wao na ukosefu wa elimu za matumizi ya madawa ya kulevya ( unasema wanaua vijana wakati vijana nowdays wakikosa wanaenda kula mavidonge ya valium watoe alosto) so acha wivu usio jenga fanya hustle zako mkono uende kinywani
Heeee nilijua tu ako namnaVipi ameacha mambo ya kusambaza sembe!
Nenda kapeleke ushahidi
Wnzako wanakamatia fursa wakija
Wkt ww umekalia kushinda hpo lumumba unatembeza bakuli
Ova
Kuna ushahidi juu ya hili?Hana lolote huyo.Nyuma kuna biashara ya unga. Muuaji mkubwa huyu.