jumanne12
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 419
- 275
Yuko sawaHongera mkuu, ni mfano mzuri na wa kuigwa, nazidi kuthibitisha ni kitu kinawezekana ila wanaume tunajiendekeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sawaHongera mkuu, ni mfano mzuri na wa kuigwa, nazidi kuthibitisha ni kitu kinawezekana ila wanaume tunajiendekeza tu.
Hongereni sana sana, MUNGU wa ISRAEL AWATUNZE.Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
Hongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Amina Kaka, namtukuza Mungu kwa ushindi hao, namwamini kwa safari zaidi piaHongereni sana sana, MUNGU wa ISRAEL AWATUNZE.
Mimi mwenyewe MUNGU alinipatia mke mwema hapahapa Jamiiforum miaka saba iliyopita na MUNGU ametuwezesha kuwa na maisha ya furaha na upendo wa hali ya juu na mafanikio makubwa na kuaminiana na kwetu kuchepuka hayupo kabisa.
Jamani wenye shuhuda kama hizi mziweke hapa, maana kuna wanaota kuingia kwenye ndoa wasiwe na mashaka na hofu kuwa ndoa ni mateso.
Ndoa ni paradiso hakika mimi najionea mwenyewe.
Is not a joke alianza kunisumbua mwaka wa 3 wa ndoa. Baadae jamaa yangu kaniambia unafeli baharia, tafyta dem upige. Toka nimeanza kuchepuka kukawa na amani chumbani maana ilikuwa ugomvi kila sikuMwaka na zaidi??
Hii imekaaje chief
Pole sana, regardless
Pole sana, ChiefIs not a joke alianza kunisumbua mwaka wa 3 wa ndoa. Baadae jamaa yangu kaniambia unafeli baharia, tafyta dem upige. Toka nimeanza kuchepuka kukawa na amani chumbani maana ilikuwa ugomvi kila siku
HongeraLeo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
We jamaa kichaa sanaJe, na mkeo hajawahi kuchepuka Mkuu? Msalimie Frontier Lungwicha. Chura iko lakini? 😜