Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Au aulizwe mkewe ameenda kwa mganga gani..manake duhUmetumia dawa gani? [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au aulizwe mkewe ameenda kwa mganga gani..manake duhUmetumia dawa gani? [emoji16]
Sio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini [emoji160] ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoaHongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Mwaka bila mbususu kutoka kwa wife??? Huyo mwanamke ni kichwa maji sasa anategemea nn?Hongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Naomba uniombee namba ya mkewe nimsalimie....Au aulizwe mkewe ameenda kwa mganga gani..manake duh
Sio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini [emoji160] ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoa
Duh mkeo atajuta kukufahamu 😀😀Nabii suleiman alimiliki buku,mimi nani nisichepuke
Wala tunaoshi kwa raha,sema dhambi ndogo sipendi napenda dhambi kubwa tuDuh mkeo atajuta kukufahamu [emoji3][emoji3]
Kuna watu pepo inawasubiria kwa wema waoMwaka bila mbususu kutoka kwa wife??? Huyo mwanamke ni kichwa maji sasa anategemea nn?
But kaa ukijua hata yy wahuni wanamega kimtindo...
Mkuu naomba namba yake,huyo ndio ananifaaSio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini [emoji160] ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoa
Hujui kitu.Mashetani hamkosi aise
Nahisi jamaa anaota ndotoNaomba uniombee namba ya mkewe nimsalimie....
we mzee umenifanya ni log in JF kwa lazima 😂😂Sio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini [emoji160] ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoa
Ila jamani tuseme ukweli wanawake tunatwishwa sana mizigo .hiv kuna mwanamke tjmamu anayeweza vua kyupi ofisin iasbh na baridi na kichwan mzima kbs? .ungesema sehem za starehe sawa..ila ofisini?? Haya bwanaSio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini [emoji160] ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoa
Atena mhilya ng'wenoyo ...lolaga doho ong'wandiko gwake ...🤸♀️🤸♀️🤸♀️Naomba uniombee namba ya mkewe nimsalimie....
There is no justification ya uchepukaji, kuchepuka ni kuchepuka tu.Ndio nini kuita watu mafurushi.
Watu hawachepuki kwa kupenda.. just with many reasons
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Mafurushi ndio yana shida, sio yeye.