Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Mnamsifia mgonjwa.au ana kibamia..haiwezekan ..narudia tena..mtoa mada lazima ana kasoro.Safi sana, wewe ndio mwanaume sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamsifia mgonjwa.au ana kibamia..haiwezekan ..narudia tena..mtoa mada lazima ana kasoro.Safi sana, wewe ndio mwanaume sasa.
Huu sasa Ni uchochezi....😂😂Akikujibu nitag Mkuu.
Ndio mapishi tofauti, ila samaki yule yule, leo wa bila mafuta, kesho wa nazi, siku.ingine wa.mafuta ya alizeti, siku ingine wa kuchoma, siku ingine.wa kuoka, siku.ingine wa.ndimu, limao day ingine.lost siku.ingine.wa mshikaki.. akili zenu tu wakurungwa.. raha ya bao ni swala la kiakili zaidiHii hapana hata iweje, kuna mtu ameandika humu, miaka 15 unakula wali samaki asubuhi mchana jioni!!!!
Nyie ndio mna matatizo, hivyo mnahisi nae ana matatizo. Huo ndio uanaume sasa.Mnamsifia mgonjwa.au ana kibamia..haiwezekan ..narudia tena..mtoa mada lazima ana kasoro.
Asante shemHongera shemela[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wanawake wengi kuliko wanaume sasa kwa nini usiwasaidie na kubadili ladha?Shetani jamani ww...
Mhhhh!!!Safi sana, wewe ndio mwanaume sasa.
Ndio ndio.Mhhhh!!!
Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
Hongera mkubwaLeo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.