Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐usikae ivyo ivyo sasa, chini patafunika ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐usikae ivyo ivyo sasa, chini patafunika ๐๐๐
Huo ni udhaifu sio sifa ya mwanaume.
Ila kwakusema ukweli huyo bae ake mleta uzi anabahati sana wallah...๐Hahahahahhaahahhahaa....naogopa kutukana maana uzi wa watakatifu huu ..ww hufai kuwa humu wala mimi!๐ค
Kumbe tupo wengi mkuu..๐คจWe uko kama mimi kuchepuka sio ishu
Asithubutu kuonja nje tu...ndo.ushauri wangu kwao...na wakipata pesa waendelee kuwa hvyo hivyo au unaonaje kichaa wangu?Ila kwakusema ukweli huyo bae ake mleta uzi anabahati sana wallah...๐
Nilipoona huu uzi nikakufikiria๐คฃ๐คฃ๐คฃWee usisifie ujinga
Ama kweli mafuniko na limbwata bado vipo!!
Utamu tunao wenyewe kule tunafuata utelezi tuSidanganyi mkuu, mie ni mwanaume. Utamu (raha) ya bao unaamua wewe mkuu japo na mwanamke anaweza ongezea kidogo.. mie sio junior kwenye hayo mambo [emoji3][emoji3]
Vipi kuhusu mkeo je?Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana , ingawa mabonde pia yalikupo, sijawahi kuchepuka nje ya ndoa , hakika kuna kipindi jilipata vikwazo vya wake maneno mengi yasisoisha lakini nikawapuuzia, dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu , nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha , nakupenda sana bebe.
Nimesha kujibu kule PM, hapa waifu anakaribu kusoma.Asithubutu kuonja nje tu...ndo.ushauri wangu kwao...na wakipata pesa waendelee kuwa hvyo hivyo au unaonaje kichaa wangu?
๐คฃ๐คฃ๐คฃna ww mkeo kumpa id yako huku inahu? Si ufalasi huo? Sasa sisi tukale wapiiiiNimesha kujibu kule PM, hapa waifu anakaribu kusoma.
Maana sie tusi chepuka hua hatutaki mambo mob..๐๐
Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana , ingawa mabonde pia yalikupo, sijawahi kuchepuka nje ya ndoa , hakika kuna kipindi jilipata vikwazo vya wake maneno mengi yasisoisha lakini nikawapuuzia, dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu , nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha , nakupenda sana bebe.
Bwege tu huyu mwamba wako.Swala la raha (utamu) ni swala la kiakili zaidi. Ndio maana unaona hata mwamba kakaa 15 bila kuangaika huko nje
Shetani jamani ww...Bwege tu huyu mwamba wako.
Hii ID anaitumia waifu, sani end mimaiselfu....๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃna ww mkeo kumpa id yako huku inahu? Si ufalasi huo? Sasa sisi tukale wapiiii
Why uulizie chura anayomiliki mtu mwingine mkuu si ukorofi huu๐๐Je, na mkeo hajawahi kuchepuka Mkuu? Msalimie Frontier Lungwicha. Chura iko lakini? ๐