Miaka 15 ya ndoa bila kuchepuka, namshukuru Mungu

Miaka 15 ya ndoa bila kuchepuka, namshukuru Mungu

Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana , ingawa mabonde pia yalikupo, sijawahi kuchepuka nje ya ndoa , hakika kuna kipindi jilipata vikwazo vya wake maneno mengi yasisoisha lakini nikawapuuzia, dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu , nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha , nakupenda sana bebe.
Acha uongo mkuu hata kwa macho hujawahi hata kumezea mate basi itakuwa mtakatifu maana kwenye maandiko yanasema ukitizama kwa tamaa imo, yaani tayari umezini kama ni kweli hata hii ujafanya naweka signecha ya dole kwenye pongezi
 
Acha utoto. Ndio maana zipo zinazovuta kama smaku na zingine kama mfuko wa Rambo
Utoto unao wewe, mwenye kujidai unajua kila kitu. Nimekueleza wanawake wana maumbile tofauti, ila.mwisho wa siku unaweza ukaamua raha unayotaka wewe..
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Unakosa raha sana mkuu, div one unakosa na ndoa unakosa 😂😂😂😂😂
Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
 
Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂..
 
Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
usikae ivyo ivyo sasa, chini patafunika 😐😐😐
 
Back
Top Bottom