Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Wanawake wana maumbile tofauti, ila raha na nguvu ya bao unaamua wewe..Unaferi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wana maumbile tofauti, ila raha na nguvu ya bao unaamua wewe..Unaferi
Acha utoto. Ndio maana zipo zinazovuta kama smaku na zingine kama mfuko wa RamboSijidanganyi.. huo ndio ukweli, raha ya bao inaanzia kwako namna unavyo andaa akili yako na namna unavyo taka bao lako litoke
Unakosa raha sana mkuu, div one unakosa na ndoa unakosa 😂😂😂😂😂Sijaolewa mkuu!...so sina experience bado
Namimi pia sijawahi kuchepuka...😇🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nakufa mmNamimi pia sijawahi kuchepuka...😇
Hajui kuwa VARIETY IS THE SPICE OF LIFE!!! Ukae hivyo hivyo, siku ukija toka hutarudi!!!Miaka 15 hujabadili ladha?
Acha uongo mkuu hata kwa macho hujawahi hata kumezea mate basi itakuwa mtakatifu maana kwenye maandiko yanasema ukitizama kwa tamaa imo, yaani tayari umezini kama ni kweli hata hii ujafanya naweka signecha ya dole kwenye pongeziLeo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana , ingawa mabonde pia yalikupo, sijawahi kuchepuka nje ya ndoa , hakika kuna kipindi jilipata vikwazo vya wake maneno mengi yasisoisha lakini nikawapuuzia, dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu , nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha , nakupenda sana bebe.
Utoto unao wewe, mwenye kujidai unajua kila kitu. Nimekueleza wanawake wana maumbile tofauti, ila.mwisho wa siku unaweza ukaamua raha unayotaka wewe..Acha utoto. Ndio maana zipo zinazovuta kama smaku na zingine kama mfuko wa Rambo
Swala la raha (utamu) ni swala la kiakili zaidi. Ndio maana unaona hata mwamba kakaa 15 bila kuangaika huko njeAcha utoto. Ndio maana zipo zinazovuta kama smaku na zingine kama mfuko wa Rambo
Usisikilize maneno za watu mwali...🤠Nakufa mm
Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!Unakosa raha sana mkuu, div one unakosa na ndoa unakosa 😂😂😂😂😂
Hahahahahhaahahhahaa....naogopa kutukana maana uzi wa watakatifu huu ..ww hufai kuwa humu wala mimi!😤Usisikilize maneno za watu mwali...🤠
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂..Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
usikae ivyo ivyo sasa, chini patafunika 😐😐😐Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
Wee usisifie ujingaHongera mkuu, ni mfano mzuri na wa kuigwa, nazidi kuthibitisha ni kitu kinawezekana ila wanaume tunajiendekeza tu.