Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The reason being........?Nilipoona huu uzi nikakufikiria🤣🤣🤣
Bwana akubarikie na kukulindaLeo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
Kesha poteza sifa ya uwanaume huyoSafi sana, wewe ndio mwanaume sasa.
TRust me "KUANZA MAPENZI MKIWA CHINI HIVYO (KUISHI STOO) MPAKA MKAJA KUWA JUU NI RAHA SANA"Bila kuwa na maisha mazuri ni kazi bureee...kwamba niolewe nikaishi room 1 mandoo ya maji humo humo mapanga jiko la tambi,kitanda, tv,yaan vurugu tupu😅😅..waolewe tu aise🥵🥵!
Pesa inaboost mapenzi mkuu...🥵
Nimekubali kukosa vyote hapo juu...acha nipambane na hali zangu
Chura hata wewe unayo mkuu BAK. Don't undermine your chura. It matters a lot to others.Je, na mkeo hajawahi kuchepuka Mkuu? Msalimie Frontier Lungwicha. Chura iko lakini? [emoji12]
Hahaha kwahio yule Mariam unamuacha braza! Chapa ile mambo mzee!Hongera mkuu nami nina miaka 5 sasa japo mitoto ya shule inasumbua kweli ila napambana. Mungu atujalie sote.
Chura hata wewe unayo mkuu BAK. Don't undermine your chura. It matters a lot to others.
Sio kawaida hii. Kuna shida sehemuSafi sana, wewe ndio mwanaume sasa.
Sio kujiendekeza bwnaa watu wanatafuta eksperience na mbinu tofauti tofatutiHongera sana mkuu! Na ikawe hivo miaka yote[emoji122]
Kumbe Wanaume bila michepuko inawezekana, acheni kujiendekeza[emoji2957]
Ndio nini kuita watu mafurushi.Nyie ndio mna matatizo, hivyo mnahisi nae ana matatizo. Huo ndio uanaume sasa.
Mafurushi hayawezi kuelewa.
Mkuu jifunze kuandika vizuri basi!Ndio mapishi tofauti, ila samaki yule yule, leo wa bila mafuta, kesho wa nazi, siku.ingine wa.mafuta ya alizeti, siku ingine wa kuchoma, siku ingine.wa kuoka, siku.ingine wa.ndimu, limao day ingine.lost siku.ingine.wa mshikaki.. akili zenu tu wakurungwa.. raha ya bao ni swala la kiakili zaidi
Nabii suleiman alimiliki buku,mimi nani nisichepukeHongera sana mkuu! Na ikawe hivo miaka yote[emoji122]
Kumbe Wanaume bila michepuko inawezekana, acheni kujiendekeza[emoji2957]
Pepo ataisikia tuUkisikia mwanaume anaenda peponi moja kwa moja bila kikwazo ndo huyu sasa. Kudos mkuu!