Uhaba wa fursa unaotokana na wingi wa washindani wanaotokana na ongezeko kubwa la watu.Ume
Umeongea kitu cha maana sana
Ila swali langu ni kwanini miaka hii ndiyo imeshika hatamu kwa ulevi tofauti na enzi zetu
Suluhisho? Hakuna
Kwahiyo? Kutafuta vifubaza akili tu siku zisogee