Uhaba wa fursa unaotokana na wingi wa washindani wanaotokana na ongezeko kubwa la watu.Ume
Umeongea kitu cha maana sana
Ila swali langu ni kwanini miaka hii ndiyo imeshika hatamu kwa ulevi tofauti na enzi zetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa vijana michongo hakuna, wanakula mo eneji na andazi moja nguvu watoe wapi Sasa.Nimesema hivyo juzi nimebeba vijana wanne wakanisaidie kupandisha
Tairi za gari ziende gereji
Amini ninachokwambia vijana wanne tairi za scania ziliwashinda kuzipandisha mpaka nikatafuta wengine tena watatu na penyewe kwa mbinde
Vijana nguvu empty
Ni jambo jema. Ila kama wapo wanaozungumzwa na mleta mada basi muwaokoe.Vijana pekee waliosalia ni kutoka moshi/ kilimanjaro. Ni vijana wenye upeo na Maono.
Cc Accumen Mo darcity
Kama hili rundo la hawa wanafunzi wa sasa wa sekondari wanaosoma masomo ya arts ambao ni 95% ya wanafunzi woteHakuna vitu vinavyowainspire vijana wajitume kwenye kazi au masomo
Wanasoma wanahitimu wanakosa shughuli za kufanya
Haya wakisema waendeleze vipaji bongo ujinga mtupu kuna kundi lipo linamini bila wao kipaji chako hacienda popote wamejimilikisha wao
So vijana wapo confused kila eneo
Acha walewe wasahau shida zao
hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa vijana michongo hakuna, wanakula mo eneji na andazi moja nguvu watoe wapi Sasa.
😂😂😂KheNaandika kwa masikitiko sana
Nikiangalia vijana wanavyoteketea kwa pombe, ugoro, bangi, sigara
Mpaka napata kichefuchefu
Unakutana na kijana miaka 19 mpaka 30 hawajulikani
Ni vijana au wazee nadiriki kuwaita ni watu kati si wazee si vijana yaani wapo wapo tu sura zimepauka nguvu walizobakiza ni za kusukumia mavi tu chooni
Serikali hebu angalieni huu utitiri wa viwanda vya pombe vijana wanaisha
Umeongea kisela sana ila umeongea Ukweli!!!Naandika kwa masikitiko sana
Nikiangalia vijana wanavyoteketea kwa pombe, ugoro, bangi, sigara
Mpaka napata kichefuchefu
Unakutana na kijana miaka 19 mpaka 30 hawajulikani
Ni vijana au wazee nadiriki kuwaita ni watu kati si wazee si vijana yaani wapo wapo tu sura zimepauka nguvu walizobakiza ni za kusukumia mavi tu chooni
Serikali hebu angalieni huu utitiri wa viwanda vya pombe vijana wanaisha
Ukweli ndiyo huo vijana wanaumeUmeongea kisela sana ila umeongea Ukweli!!!