Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

Mbona vidole laini hivo?? yaani ulivo ishika hiyo Bia Mkuu labda watu wengine wasiione!!! yaani hata kutongozwa tu na Bar Med pia? vitoto vya shule? hawakutongozi Baba pole unasafari ndefu???

jifunze kushika Bia mkononi vizuri utaona haooooooo!!
Kama kweli vile....!
 
Hospital binafsi wanafanya hiko kipimo brother ukiwa na NHIF Unamwomba tu daktari?
 
Hivi mwanangu we Safari ngapi humalizi?maana me hizi kubwa nikipiga sita tu chali nazima na kuzima yaani aibu kinyama
Kiwango cha juu niliwahi kwenda 11. Siku hizi sizipendi sana naishiaga nne tu halafu nahamia kwenye bia nyepesi. Uwe unakula kwanza vizuri. Sio ugali maharage halafu unaenda piga safari.🤣🤣🤣.
 
Mikono laini hiyo kweli umpe mtoto wa watu Mimba THUBUTU.
Angali hii kama uko sawa

Kama hauruki mkojo futi5 toka miguu yako pasipo kushikili mpini. Hesabu mashine haina nguvu
Kama uko miaka 40 and below

Nakumpuka nilikuwa na rusha hadi najikojolea usoni kitu kiko projected at projectile angle
 
Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.


Utakuwa bashite wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…