Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.

Puli napiga kidogo tu sio sana mademu wapo kitaa ila mpaka ninywe pombe ndo niongee nao bila pombe nakuwa sina lomoni yoyote nakuwa kimya Kama kuku anayetaga.. sometimes mademu wakijua me ni mlevi wanakula Kona wananiachia manyoya..nakula pombe, sie wote si ma born town tunajuana wazee wa ma vibe..

Ila ndo hivo wakuu sometimes waga nahisi lifestyle yangu itapelekea kuwa na mbegu zisizo na ubora wa kutungisha mimba ila sometimes najipa matumaini hata Kama nikikosa mtoto sio ishu maisha yataendelea tu Tena ndo nakuwa Sina mzigo wa kulea...

Ila tatizo nikiwaza Mali zangu nitamwachia Nani Hapo naishiwa pozi...sema Nini sio case mbona yesu yule mwalimu asiye na kifani mfalme mbona hajawahi kuwa na watoto halafu fresh tu kafanikiwa.aah bwana eeh watoto Ni majaliwa kasim...tafuteni hela nyie.

IMG_20210704_213505.jpg

 
Unasema mademu hawakutaki..sasa mimba utawapaje?..kwa mdomo?

Kafanye sperm count and fertility examination kama una hofu na hilo..ila for the meantime ni kuwa ili umpe demu mimba ni lazima umgegede na umwagie ndani siku ambayo yupo kwenye joto vitu vingine vikiwa vimeremain constant.
 
Mbona vidole laini hivo?? yaani ulivo ishika hiyo Bia Mkuu labda watu wengine wasiione!!! yaani hata kutongozwa tu na Bar Med pia? vitoto vya shule? hawakutongozi Baba pole unasafari ndefu???

jifunze kushika Bia mkononi vizuri utaona haooooooo!!
 
Unasema mademu hawakutaki..sasa mimba utawapaje?..kwa mdomo?

Kafanye sperm count and fertility examination kama una hofu na hilo..ila for the meantime ni kuwa ili umpe demu mimba ni lazima umgegede na umwagie ndani siku ambayo yupo kwenye joto vitu vingine vikiwa vimeremain constant.
Inagharimu sh ngapi kufanya vipimo mkuu
 
Bado umelewa mkuu. Kapate soup, unywe na maji mengi. Jumapili usinywage safari mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mwanangu we Safari ngapi humalizi?maana me hizi kubwa nikipiga sita tu chali nazima na kuzima yaani aibu kinyama
 
Back
Top Bottom