Kila mtu anawajibika kwa maisha yake, hao uliowaacha kijijini nao waendelee na maisha yao, tatizo letu ni fikra za ujamaa ndio bado zinatufanya hata kuondoka nyumbani tulikozaliwa kuona ni tatizo.mimi ninachoona kwamba watu hawakatazi mtu kwenda kujitafutia sehemu nyingine,watu hupata mstuko pale unapokata miaka zaidi ya 10+ bila kustuka na hata kujua uliyowaacha wanaishi vipi.
NB;HAPA NDIPO WATU WANAPOJARIBU KUTAFAKARI SHIDA NI NINI KUKATA MIAKA YOTE PASIPO KUSTUKA KURUD NYUMBAN
Unaonekana wewe unawadharau sana wachungaji. Kwa hiyo unajiona maisha umeyapatia sana siyo ?Hahhaahahahhahaahhajajajajaahahhaa.natamani kubandika sehemu hii[emoji38][emoji38][emoji38]! Mie nitasema ukwel siku zote..nyumba ambyo mwanamke ndo ana akili na smart ndo zinaongoza kwa discpln na maendeleo ya kijamii..haya mapanyabuku yanayoonea wake zao wanataka muda wote mke awe roughy ,awe na mamkaa Mara masizi Mara avae matenge Kama mama mchungaji always huwa shidaaaa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]! Nimecheka na hizo red suits na puple uwiii Nakufa Mimi jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!..Basi hiyo ndo jamii ya wasukuma[emoji1][emoji119]
Salute mkuu,nimecheka hadi machozi yamenitoka.Pengine ndugu yenu ni huyu ndugai
usipokuwa makini ndugu watakufanya ulaaniwe na wazazi kwani baadhi ya wazazi huwaamini ndugu kuliko watoto wao.
Poleni jamaniInauma Sana. Hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi. Jamii ikamtenga, akaona isiwe kesi. Ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye😭😭
Kisha baadae ndugu hao hao wanakuja kuwakimbia hao wazazi na huwaacha wakipata tabu na huku wakiwacheka kwa kuwalaani watoto wao.Nimeshuhudia hili hivi hivi ulivyolisema.
Me mwenyewe ninampango nisepe nisijulikane nilipo maana nina ndugu. SIONI IMPACT YAO KABISAAAA
Du hatari sana,kule kwetu morogoro watu wa aina hii wapo wengi sana tunabaki huwa tunawashangaa kwanini hawarudi kwao hasa wa kanda ya ziwa
... take care mzee; your freedom of speech is assured BUT freedom after speech is not guaranteed! Yalikuwa maneno ya Idd Amin Dada kwa waandishi wa habari enzi hizo.Basi wako nyuma sana na ndio maana wanasema ukiona jamii kina mama wajinga angalia hata vijana wao hawawezi kuwa na akili kama wanayo ya darasani basi ni ya kukariri tu lakiji sio ya kutumia common sense. Angalia jamii nyingi zinazonyanyasa wanawake huwa hazina maendeleo na hata wakiendelea unakuta hawana classy yapo yapo tu na kuvaa mi suti ya red au purple. Maendeleo sio ya maana
Sema baadhi ya wanaume sio wote,halafu ukoo/familia yenu ndio inaonekana inashida,hakuna wasukuma wenye tabia kama hiyoKwanza ni marufuku kula pamoja na wanaume...wanaume wanaweza beba chungu Cha mboga na usifanye kitu![emoji1][emoji1][emoji1]! Mie pia nimepitia Sana unyanyasi huo kwa baba...dogo letu mpk leo wanamtreat Kama mfalme!
Nilifight Sana nikajua shortcut ni mm niwe na life zuri . .Kuna ukandamizaji Sana ..Tena ule wa kuumiza ..huoneshwi hata Hati za viwanja zimeandikwaje...yaan unaishi Kama unaelea hewani tu mradi kuche[emoji38][emoji38]! Yaan wanaume wa kisukuma ni balaa!...hawa dawa yao uwazidi tu wanakuwaga Kama mavifaranga yenye mdondo
Na mimi nasema kweli siku zote, wanawake wa kisukuma waliokuwa wanasifiwa kwa tabia nzuri hata na makabila mengine wamekwishaHahhaahahahhahaahhajajajajaahahhaa.natamani kubandika sehemu hii[emoji38][emoji38][emoji38]! Mie nitasema ukwel siku zote..nyumba ambyo mwanamke ndo ana akili na smart ndo zinaongoza kwa discpln na maendeleo ya kijamii..haya mapanyabuku yanayoonea wake zao wanataka muda wote mke awe roughy ,awe na mamkaa Mara masizi Mara avae matenge Kama mama mchungaji always huwa shidaaaa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]! Nimecheka na hizo red suits na puple uwiii Nakufa Mimi jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!..Basi hiyo ndo jamii ya wasukuma[emoji1][emoji119]
Mkimuuliza anakuwa wap anajibu nn?Mtoto wa dada yangu anamiaka 7 anapoteaga, tunamtafuta mji mzimaa hapatikani, ila mda wa chakula kikiletwa mezani tu na yeye anaibuka kama mzimu
Kwa kweli! Kama impact ipo basi ni NEGATIVE IMPACT. Ondoka zako mkuu,uepukane na kuletewa kadi za michango ya harusi na sherehe mbalimbali za ndugu zako.Me mwenyewe ninampango nisepe nisijulikane nilipo maana nina ndugu. SIONI IMPACT YAO KABISAAAA
Hufa maskini ..maskini hafilisikiMtegemea cha ndugu!!!
Kuna msemo usamao wanawake wote ni wapumbavu lakini akina mama wote ni walevu..nadhani hakuna mtu ambae atakubali mamake aitwe mpumbavu.Hahhaahahahhahaahhajajajajaahahhaa.natamani kubandika sehemu hii😆😆😆! Mie nitasema ukwel siku zote..nyumba ambyo mwanamke ndo ana akili na smart ndo zinaongoza kwa discpln na maendeleo ya kijamii..haya mapanyabuku yanayoonea wake zao wanataka muda wote mke awe roughy ,awe na mamkaa Mara masizi Mara avae matenge Kama mama mchungaji always huwa shidaaaa📌📌📌📌📌! Nimecheka na hizo red suits na puple uwiii Nakufa Mimi jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣!..Basi hiyo ndo jamii ya wasukuma😄🙌
Duuu hili n pepo Mkuu mlikemee tu.. n mawazo yanawajia kwa sababu huenda alikuwa profitable hapo nyumbaniMtoto wa dada yangu anamiaka 7 anapoteaga, tunamtafuta mji mzimaa hapatikani, ila mda wa chakula kikiletwa mezani tu na yeye anaibuka kama mzimu
Sema baadhi ya wanaume sio wote,halafu ukoo/familia yenu ndio inaonekana inashida,hakuna wasukuma wenye tabia kama hiyo
Sijui hayo...Sina referenceNa mimi nasema kweli siku zote, wanawake wa kisukuma waliokuwa wanasifiwa kwa tabia nzuri hata na makabila mengine wamekwisha