Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kesi huwa haishi sema maafande ndo walishahama....ila kama ni wizi tu automatic ilishaisha...mtafuteni asije akawa teja huko Dar.
Basi hicho n kiburi cha uzima na fedha..atarudi tu ipo sikuInasemekana anayo maisha safi sana ameshaoa na watoto wake ni wakubwa ila ndio hvyo hataki kurudi.
Lakin wengi wanaokimbia wakirudi unakuta maisha yamewapiga had huruma .ndugu, familia, na umasikini ndio chanzo cha kukimbia, maneno, masimango, kutengwa kisa huna hela
ni kweli, ndio maana wengi wanarudi wakiwa wazee wamechoka wanasubiri kufa, huoni kwa muda ambao hawakuwepo wamekwepa masimango na dharau za ndugu?Lakin wengi wanaokimbia wakirudi unakuta maisha yamewapiga had huruma .
Basi hicho n kiburi cha uzima na fedha..atarudi tu ipo siku
Hii habari yako ni questionable! Mjombake mama aliondoka 1980's mama akiwa mdogo akaja kurudishwa 2000's wewe umshamaliza sekondari. Hebu eleza vizuri.mama yangu alikuwaga na mjomba wake sasa ni marehemu akiondoka kwao kijijini mikese morogoro, mama akiwa bado mtoto mdogo, alienda tanga ila hakuwa na mawasiliano na kwao, hadi mama akakua na sisi tukazaliwa alirudi kwa kurudishwa mimi nikiwa niko sekondari tayari
tena kurudishwa kwenyewe ni kuwa alikuwa anaumwa sasa watu wa huko wakaona huyu mtu atatufia wakatafuta ndugu zake , wakampata kakaake wakamtumia nauli kaka ke akaenda huko tanga akakabidhiwa ndugu yake akamrudisha morogoro.
hakukaa sana akafariki,
imagine aliondoka miaka ya 1980s mwanzoni, akajakurudi miaka ya 2000 mwishoni
... aliondoka 1963 baada ya kujifungua; let's assume she was 20. Today she would be 77. Ngumu sana kuonana naye tena Mkuu; tuombe basi japo katika Ufalme wa Mbinguni.Very sad ....pole sana ndugu yangu ...huenda kuna siku tutamwona tena.
Unyanyasaji na unyanyapaa wa aina hii upo sana kwa kweli .
Nimesikitika sana. Miaka ya zamani kuna watu walipata shida sana na wengine kufa vifo vya mateso makubwa kwa sababu tu ya ujinga, mila na desturi zilizokuwepo kwenye jamii. Hasa wanawake waliathirika sana. Mimi nimezaliwa kwenye jamii ambayo miaka ya nyuma mfumo dume ulikuwa umetamalaki na mwanamke alikuwa anaonekana kama mtumwa wa kufanya kazi. Sitaacha kuwaheshimu kinamama katika maisha yangu nikikumbuka wengi walivyonyanyaswa kwa sababu ambazo ziko nje yauwezo wao.Inauma Sana. Hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi. Jamii ikamtenga, akaona isiwe kesi. Ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye😭😭
Duuh alotoroka au????Mm nimepotezana na wife, ni miaka kumi na mbili cjui aliko
Duh mkuu pole sana ilikiwaje tena au ndio mambo ya kutafuta maisha au mliitirafiana akaamua kuondoka auMm nimepotezana na wife, ni miaka kumi na mbili cjui aliko
Kaka yangu ambaye ni mzaliwa wa kwanza aliondoka nyumbani tarehe 22/9/1970 akiwa na umri wa miaka 20 akakaa Mwanza mjini kwa muda wa miaka 18 mfululizo bila kurudi nyumbani Geita vijijini. Hata baba alipofariki mwaka 1979 hakuhudhuria mazishi. Tarehe 1/9/1988 ndipo akaja nyumbani kwangu na kuniomba nimpeleke nyumbani. Nikampeleka tarehe 3/9/1988 akuwa na umri wa miaka 38. Hadi leo hajaondoka nyumbani.
Ha ha ha; warudi basi. Afrika ardhi imejaa tele. Kwa Tanzania under special arrangements hekta kadhaa zinaweza kutengwa maeneo ya Bahi na Manyoni kwa ajili ya Black Lives walio tayari kurudi ila ndio hawataki kurudi home.Ila Mkali umetisha wale watumwa ndio tunaowambia Black lives matter ...hao walilazimishwa bana
Siwajui ndugu wa upande wa mama,sujawahi hata kuona
mama ni mzaliwa Wa shinyanga,aliolewa na baba miaka ya 1986. Walitengena na family baada ya kuolewa wakahama na mkoa
Tangu 1986 hadi Leo 2020 mama hakuwahi kurudi nyumbani kwao
Natamani sana siku moja niwaone ndugu zangu upande Wa mama angalau hata mmoja tu lakini ilishashindika kabisa
Tafadhali kama kuna msaada mnaweza nisaidia niwapate hata mmoja
Muda mwingine nikikutana na mtu alitokea shinyanya huwa namchulia kama ndugu yangu.
Mama jina lake anaitwa Modesta misalaba, aliolewa kwenye ukoo Wa maganiko
Hiyo ndio basi tenaBabu yangu hata kabla hajamzaa baba, kaka zake wanne,waliondoka kwenda Zambia (Kitwe kwenye machimbo ya shaba, baadae watatu wakaenda ''KuJhoni''(Joharnesburg) Africa kusini kwenye machimbo ya dhahabu, mpaka leo hawajawahi kuonekana, Ni zaidi ya miaka 70 iliyopita...hii ni kutoka Mbeya Rungwe Tukuyu...........
Pole ndugu. Wazaliwa wa kwanza sometimes wanakuwa na issues sijui kwanini. Anyway, hata maandiko yanasema ni malango shetani huwachezea kweli kweli. Mvumilie tu kaka mkubwa Bwana atakulipa.Kaka yangu ambaye ni mzaliwa wa kwanza aliondoka nyumbani tarehe 22/9/1970 akiwa na umri wa miaka 20 akakaa Mwanza mjini kwa muda wa miaka 18 mfululizo bila kurudi nyumbani Geita vijijini. Hata baba alipofariki mwaka 1979 hakuhudhuria mazishi. Tarehe 1/9/1988 ndipo akaja nyumbani kwangu na kuniomba nimpeleke nyumbani. Nikampeleka tarehe 3/9/1988 akuwa na umri wa miaka 38. Hadi leo hajaondoka nyumbani.
Yaani hata Babu akawa anamwambia wewe ushakuwa mkosi...hapo dingi yuko bwiru anasoma..anarudi hom hakumkuta sisy ake ...Kuna makabila mpk leo wanaendekeza hizo mila za ajabu na mamfumo dime....nikibarikiwa kupata mtoto wa kike sitaruhusu aolewe kabila langu... Sitaki kbsNimesikitika sana. Miaka ya zamani kuna watu walipata shida sana na wengine kufa vifo vya mateso makubwa kwa sababu tu ya ujinga, mila na desturi zilizokuwepo kwenye jamii. Hasa wanawake waliathirika sana. Mimi nimezaliwa kwenye jamii ambayo miaka ya nyuma mfumo dume ulikuwa umetamalaki na mwanamke alikuwa anaonekana kama mtumwa wa kufanya kazi. Sitaacha kuwaheshimu kinamama katika maisha yangu nikikumbuka wengi walivyonyanyaswa kwa sababu ambazo ziko nje yauwezo wao.