Miaka ijayo Ndoa nyingi zitakuwa hivi...

Miaka ijayo Ndoa nyingi zitakuwa hivi...

Mungu ni mwenye rehema atawasamehe, wamefanya yote si kwa kukusudia kulala na Kaka au Dada yake, Mungu pia huitazama nia ya mtu ndani japo bado ni laana, maana imeandikwa amelaaniwa alalaye na binti wa Baba yake.

Kabisa, Mungu wetu ni Mungu wa rehema na kusamehe. Ila toba ni muhimu ili kuupata msamaha.

Kuna post juu hapo wanasema hakuna laana sababu walilala wakiwa hawajui, sasa kama walikuwa hawajui mbona tunalijadili hapa? Ndio limeshakuwa wazi hivyo laana imejidhihirisha live.
 
Kabisa, Mungu wetu ni Mungu wa rehema na kusamehe. Ila toba ni muhimu ili kuupata msamaha.

Kuna post juu hapo wanasema hakuna laana sababu walilala wakiwa hawajui, sasa kama walikuwa hawajui mbona tunalijadili hapa? Ndio limeshakuwa wazi hivyo laana imejidhihirisha live.
Laana ni nini?
 
Aisee.ila kipi kina afadhali kama hawa wadau kesi either ya hiz:

1. Ndugu walio share baba
2. Ndugu walio share maa
 
Ili kuokoa nguvu na muda mkuu niambie kwanza unajua maana ya baraka? Halafu Mungu unamfahamu? Hivi wewe uliletwa au ulijileta?
Sijui maana ya Baraka na hayo maswali mengine ni irrelevant na swali langu, halafu mbona kama unapanic nilijua mtu asiyejua anapaswa kujuzwa, sivyo maandiko yanavyosema?
 
Sijui maana ya Baraka na hayo maswali mengine ni irrelevant na swali langu, halafu mbona kama unapanic nilijua mtu asiyejua anapaswa kujuzwa, sivyo maandiko yanavyosema?
Hahahaha kaamua kujihami amehisi kabisa haya maswali sio poa, subiri aje na majibu ya kugoogle
 
Sijui maana ya Baraka na hayo maswali mengine ni irrelevant na swali langu, halafu mbona kama unapanic nilijua mtu asiyejua anapaswa kujuzwa, sivyo maandiko yanavyosema?

Maandiko gani unayozungumzia? Sasa hata kabla sijakufunza na kukupa darasa lazima kwanza nijue kiwango cha uelewa wako ili nikupe shule sahihi kulingana na level yako. Hivyo narudia swali je unajua maana ya baraka? Na Mwenyezi Mungu unamjua?

Hebu weka utayari wa kuwa mwanafunzi na mtaka kuelewa bhas na shule itakujia utaelewa kila kitu. Karibu.
 
Maandiko gani unayozungumzia? Sasa hata kabla sijakufunza na kukupa darasa lazima kwanza nijue kiwango cha uelewa wako ili nikupe shule sahihi kulingana na level yako. Hivyo narudia swali je unajua maana ya baraka? Na Mwenyezi Mungu unamjua?

Hebu weka utayari wa kuwa mwanafunzi na mtaka kuelewa bhas na shule itakujia utaelewa kila kitu. Karibu.
Nimekuuliza nini maana ya Laana ukasema ni kukosa baraka za mwenyezi Mungu nikakuuliza nini hizo Baraka za Mwenyezi Mungu? Naona mada umeipindua unakuja na mengine.
 
Nimekuuliza nini maana ya Laana ukasema ni kukosa baraka za mwenyezi Mungu nikakuuliza nini hizo Baraka za Mwenyezi Mungu? Naona mada umeipindua unakuja na mengine.

Ndio nakuuliza unajua maana ya baraka? Na Mwenyezi Mungu unamjua? Nifahamishe kwanza hapo tafadhali ndio niweze kukwambia hizo baraka za Mwenyezi Mungu ni nini.
 
Ndio nakuuliza unajua maana ya baraka? Na Mwenyezi Mungu unamjua? Nifahamishe kwanza hapo tafadhali ndio niweze kukwambia hizo baraka za Mwenyezi Mungu ni nini.
Baraka sijui na mwenyezi Mungu simjui.
 
Baraka sijui na mwenyezi Mungu simjui.

Okay, baraka maana yake ni hii, " Baraka ni tendo la kumtakia au kumuombea mtu mema " na Mwenyezi Mungu ndio mkuu wa Mamlaka zote Duniani na Ulimwenguni kwa ujumla.

Sasa turudi kwenye msingi wa swali lako la awali, ulikuwa unauliza nini ndugu?
 
Okay, baraka maana yake ni hii, " Baraka ni tendo la kumtakia au kumuombea mtu mema " na Mwenyezi Mungu ndio mkuu wa Mamlaka zote Duniani na Ulimwenguni kwa ujumla.

Sasa turudi kwenye msingi wa swali lako la awali, ulikuwa unauliza nini ndugu?
"Baraka ni tendo la kumtakia Mtu mema..."
Swali langu Baraka za Mwenyezi Mungu ni zipi?
 
"Baraka ni tendo la kumtakia Mtu mema..."
Swali langu Baraka za Mwenyezi Mungu ni zipi?


Baraka za Mwenyezi Mungu ni hizi, Afya, Uhai, Uzazi, Amani, Mafanikio, Furaha, Mali, Ufahamu, Maarifa N.k.. Pia zipo baraka za kiroho kwa wale wenye kuona zaidi ya uoni wa kibinadamu.

Baraka hizi zinakuja kwa kutimiza amri kadhaa, ni reward ili kuzipata kwa wingi lazima utii pia uwepo... Karibu.
 
Ubinafsi wa wanawake ndio unasababisha hayo.
Mtu ukizaa naye mtoto mwambie mtoto baba yake ni nani?
Haipunguzi kitu.
Makosa yao wanayahamishia kwa watoto ili wawachukie baba zao.
Ukiwa baba unamheshimu Sana baba yako.
Maana unagundua namna alikuwa anazinguliwa na Mama. Na shida zote ulikuwa unaambiwa kuhusu baba unagundua ulikuwa uzushi mwingi
Kweli mkuu uko sahihi kabisa hawa mama zetu hawa
 
Back
Top Bottom