Miaka ijayo Ndoa nyingi zitakuwa hivi...

Wagonjwa wote wana laana?
Waliofariki wana laana?
Maskini wana laana?
Wasio na furaha wana laana?
Machizi na Mbumbumbu wana laana?

Ref; Laana ni kukosa Baraka za Mwenyezi Mungu.
 
Wagonjwa wote wana laana?
Waliofariki wana laana?
Maskini wana laana?
Wasio na furaha wana laana?
Machizi na Mbumbumbu wana laana?

Ref; Laana ni kukosa Baraka za Mwenyezi Mungu.

Hahaha...Wewe pia una laana ya kukosa maarifa. Nilijua tu utabwatuka namna hii bila kupata tafakuri ya nilichoandika.

Mgonjwa ni mtu gani? Masikini ni mtu gani? Anaekosa furaha anakosa furaha ipi/gani? Machizi na mambumbumbu wa kitu gani au hali gani? Waliofariki katika hali gani au ulimwengu gani?

Tafuta maarifa kwanza, hutakuwa na sababu ya kuuliza yote hayo. Bahati mbaya unajishikisha katika maarifa ambayo yako juu ya uwezo wako na ufahamu wako, hujui umesimamia katika misingi gani ya huu limwengu ndio maana unakuja kusumbua na maswali ambayo ungekuwa na ufahamu nayo kama tu pia ungeamua kusimama kweli na kuamini katika huo mrengo uliopo...Well, tufupishe hayo Unaamini katika nini?
 
Hii ndio shida yenu, hua mnaanza vizuuuuri mkishaona sehemu mmejifunga kwa maneno yenu mnaanza maarifa sijui imani sijui kiroho,

Swali langu lilikua jepesi sana umelijibu kupitia jibu lako nikapata swali lingine sasa unanijia na mlolongo wa maelezo, lol
Enjoy your moment.
 

Nikiingia kwenye imani na kiroho ndio nitakupoteza kabisa mkuu, nataka tu nikupe shule ya kikawaida tu kwa hesabu za kibinadamu na uasili wake kimazingira. Huko kwenye roho na imani sio level yako maana wewe umekaririshwa mambo ambayo huna ufahamu nayo.

Tafuta maarifa kwanza mbona milango itafunguka tu mkuu? Hutakuwa na maswali mepesi hivyo. Siwezi kuandika kila kitu hapa, ila naandika kulingana na level ya uelewako wako ndio maana nimechagua twende kwa mfumo wa swali kwa swali ili tuwekane sawa. Karibu.
 
mama zao ndo chanzo cha tatizo, inakuwaje mwanao anachumbiwa unashindwa mjulisha mzazi wake? hii ni aibu kubwa kwa familia, na kama washaonjana sidhani kama itakua rahisi kutoendelea na huo mchezo.
Mkuu hata kama hawajanyanduana lbda tuseme ni mabikra napo kuna madhara makubwa kwa sababu mpk wamevumiliana uchumba hadi harusi maana ake huo upendo si wa nchi hii na hao kuacha kupendana ni ngumu. Tena unaweza kuta wakaamua kuwakomesha wazazi kwa kuzaa makusudi kwa kuwaharibia mipango yao
 
Mambo ya “singo maza” haya.


 
Sasa si kunyanduana tayali washanyanduana inakuwaje hapo ebu wababa wachungaji na baba mapadre mkisaidiana na mashehe hii inshu imekaaje
Kwa mashehe hao watoto ruhsa kuoana. Watoto wa nje ya ndoa si mali ya baba. Lakini kama baba yao alioa mama zao kila mmoja kwa wakati wake, haifai kuoana.
 
Kwa mashehe hao watoto ruhsa kuoana. Watoto wa nje ya ndoa si mali ya baba. Lakini kama baba yao alioa mama zao kila mmoja kwa wakati wake, haifai kuoana.
Dah hatar sana mkuu usiombe ukutwe na hii inshu unaweza kuona dunia inakuelemea
 
K
Mambo ya “singo maza” haya.
Kwaiman yangu kungekua hakuna shida....tumeelekezwa nihalamu kuoa au kuolewa na mtu yoyote ulie nyonya nae ziwa moja....lakn Kama hamkunyonya ziwa moja ukfata sharia inaswihi iyo,ingawa ktamaduni zetu zakiafrika sio sawa inaonekana Kama nilaana....chapl kwenye iman yetu watoto ambao hawajazaliwa kwandoa sio watoto wababa kwaiyo wanaweza kuoana bla shda.....maana mtoto wa nnje yandoa ata urithi upata kwamamaake tu
 
Mungu ni mwenye rehema atawasamehe, wamefanya yote si kwa kukusudia kulala na Kaka au Dada yake, Mungu pia huitazama nia ya mtu ndani japo bado ni laana, maana imeandikwa amelaaniwa alalaye na binti wa Baba yake.
Pengine hawajalala pamoja, walikuwa wanasubiri ndoa. Subira huvuta kheri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…