Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Wagonjwa wote wana laana?Baraka za Mwenyezi Mungu ni hizi, Afya, Uhai, Uzazi, Amani, Mafanikio, Furaha, Mali, Ufahamu, Maarifa N.k.. Pia zipo baraka za kiroho kwa wale wenye kuona zaidi ya uoni wa kibinadamu.
Baraka hizi zinakuja kwa kutimiza amri kadhaa, ni reward ili kuzipata kwa wingi lazima utii pia uwepo... Karibu.
Yaani unasema afadhali kwa mtu mliyelala tumbo moja na kushare ziwa moja kuliko mtu mnaye share jina la ukoo.Afadhali waliosgea mama asee
Wagonjwa wote wana laana?
Waliofariki wana laana?
Maskini wana laana?
Wasio na furaha wana laana?
Machizi na Mbumbumbu wana laana?
Ref; Laana ni kukosa Baraka za Mwenyezi Mungu.
Hii ndio shida yenu, hua mnaanza vizuuuuri mkishaona sehemu mmejifunga kwa maneno yenu mnaanza maarifa sijui imani sijui kiroho,Hahaha...Wewe pia una laana ya kukosa maarifa. Nilijua tu utabwatuka namna hii bila kupata tafakuri ya nilichoandika.
Mgonjwa ni mtu gani? Masikini ni mtu gani? Anaekosa furaha anakosa furaha ipi/gani? Machizi na mambumbumbu wa kitu gani au hali gani? Waliofariki katika hali gani au ulimwengu gani?
Tafuta maarifa kwanza, hutakuwa na sababu ya kuuliza yote hayo. Bahati mbaya unajishikisha katika maarifa ambayo yako juu ya uwezo wako na ufahamu wako, hujui umesimamia katika misingi gani ya huu limwengu ndio maana unakuja kusumbua na maswali ambayo ungekuwa na ufahamu nayo kama tu pia ungeamua kusimama kweli na kuamini katika huo mrengo uliopo...Well, tufupishe hayo Unaamini katika nini?
Hii ndio shida yenu, hua mnaanza vizuuuuri mkishaona sehemu mmejifunga kwa maneno yenu mnaanza maarifa sijui imani sijui kiroho,
Swali langu lilikua jepesi sana umelijibu kupitia jibu lako nikapata swali lingine sasa unanijia na mlolongo wa maelezo, lol
Enjoy your moment.
Mkuu hata kama hawajanyanduana lbda tuseme ni mabikra napo kuna madhara makubwa kwa sababu mpk wamevumiliana uchumba hadi harusi maana ake huo upendo si wa nchi hii na hao kuacha kupendana ni ngumu. Tena unaweza kuta wakaamua kuwakomesha wazazi kwa kuzaa makusudi kwa kuwaharibia mipango yaomama zao ndo chanzo cha tatizo, inakuwaje mwanao anachumbiwa unashindwa mjulisha mzazi wake? hii ni aibu kubwa kwa familia, na kama washaonjana sidhani kama itakua rahisi kutoendelea na huo mchezo.
Sure.Afadhali waliosgea mama asee
Katika hali ambayo haikutarajiwa, Ann Magwi na Jonathan Munini kutoka Kenya, wamelazimika kukatisha zoezi la kufunga ndoa, baada ya James Sidai kujitokeza kanisani na kusema yeye ndio Baba yao Mzazi, Baba huyo aliingia kanisani akiwa na Dada yake na kusema ndoa hiyo isifungwe kwa kuwa Maharusi ni Ndugu wa damu.
"Mama zenu nyie, mmoja aliniacha akaondoka na Mtoto akiwa na mwaka mmoja, mwingine aliona uchumi wangu umeyumba akaondoka akiwa na mimba ya miezi minne na akaolewa na Mwalimu, nikaamua kumuoa mwingine na tuna Watoto watatu, nimeona tangazo la harusi yenu WhatsApp zile picha nikasema hawa ni Wanangu nikachunguza kwa Watu mlioishi nao wakasema ni kweli"-JAMES
Bwana harusi ambaye ni Mfanyabiashara katika mji wa Madogo aliondoka Kanisani kwa hasira akimuacha Mama yake akiwa analia huku Bibi Harusi akiondoka na Mama yake ambaye inadaiwa alikuwa amepoteza fahamu.
Hali ni mbaya Wazee, hii trend ya watoto wa Familia kutokufahamiana inazidi kuwa kubwa siku hadi siku.
Kwa mashehe hao watoto ruhsa kuoana. Watoto wa nje ya ndoa si mali ya baba. Lakini kama baba yao alioa mama zao kila mmoja kwa wakati wake, haifai kuoana.Sasa si kunyanduana tayali washanyanduana inakuwaje hapo ebu wababa wachungaji na baba mapadre mkisaidiana na mashehe hii inshu imekaaje
Dah hatar sana mkuu usiombe ukutwe na hii inshu unaweza kuona dunia inakuelemeaKwa mashehe hao watoto ruhsa kuoana. Watoto wa nje ya ndoa si mali ya baba. Lakini kama baba yao alioa mama zao kila mmoja kwa wakati wake, haifai kuoana.
Kwaiman yangu kungekua hakuna shida....tumeelekezwa nihalamu kuoa au kuolewa na mtu yoyote ulie nyonya nae ziwa moja....lakn Kama hamkunyonya ziwa moja ukfata sharia inaswihi iyo,ingawa ktamaduni zetu zakiafrika sio sawa inaonekana Kama nilaana....chapl kwenye iman yetu watoto ambao hawajazaliwa kwandoa sio watoto wababa kwaiyo wanaweza kuoana bla shda.....maana mtoto wa nnje yandoa ata urithi upata kwamamaake tuMambo ya “singo maza” haya.
Pengine hawajalala pamoja, walikuwa wanasubiri ndoa. Subira huvuta kheri!Mungu ni mwenye rehema atawasamehe, wamefanya yote si kwa kukusudia kulala na Kaka au Dada yake, Mungu pia huitazama nia ya mtu ndani japo bado ni laana, maana imeandikwa amelaaniwa alalaye na binti wa Baba yake.