Miaka inaenda sioni Future yangu. Nimekata tamaa!

Tatizo lako unapoteza muda mwingi kutafuta umaarufu hapa JF kwa kuandika makala zisizo na kichwa wala miguu. Jikite katika kutafuta hela, Achana kushindana na watu kama Erythrocyte au akina brazaj etc , wenzako wanalipwa na chadema!


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kasome hapa ukichoka kutafuta pesa

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Ukikataa tamaa kwani ndio unakuwa umefanikiwa ?

Pambana, mie sina mke, sina mtoto sina chochote na ni mkubwa kuliko wewe, ila napambana marufuku kukata tamaaa.. huwa tunakata tu kauli tu, na sio tamaa ya kufikia tunayotaka
Mi mwenyewe nasubiri nife ili nikate tamaa, ila kama sijafa NEHI
 
Kumbe kuna watu hamko siriazi na maisha tafuta pesa bro mjini hapa kazi zipo nyingi za kufanya usilalamikie ugumu et kisa umesoma..What the hell have u written my fellow
 
Ambiere, uho nedho! Voneiwa!!
 


πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kumbe kuna watu hamko siriazi na maisha tafuta pesa bro mjini hapa kazi zipo nyingi za kufanya usilalamikie ugumu et kisa umesoma..What the hell have u written my fellow


Nambie wapi nizitafute,
Niajiri unipe hizo pesa sio uniambie nitafute tuu ukadhani nitakuona umenipa msaada
 
Mzee hii kitu hapo kwenu IPO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…