Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Are you married madame?

If not, let me know please.
 
Mungu siku moja atakujibu maombi yako utampata mwanaume anaejua ndyundyu atakutoa kwa mumeo na utakuwa nae na utashindia ugali na chumvi na kuvaa gauni ya kusaidiwa na ndugu zako na utaishi maisha ya kuomba omba ili mradi tu uwe unafanywa vizuri na huyo mtu.Mungu akusaidie Amin
 
Ww ulidhani ndoa ni ngono tu, Nenda kwa mnyakyusa achana na ndoa
 
Duuuu, pole dada tatizo wanawake huwa hamuwezi kucontrol mahusiano hivyo kuhusu huyo Malafyale au ndumiana sukushari sana utavunja ndoa kwani utamndharau mumeo bila kujua hivyo utakua ndio mwanzo wa ndoa kuvunjika
 
usijaribu kutoka nje ya ndoa,kama huo uharo ulichagua mwenyewe.huyo anayekufuatilia inawezekana ni haohao kama mumeo,je utatafuta mwingine
 
Umu ndani akuna wtt kuna w2 wazma siyo kira jambo unapoti 2 ilimradi unaweza ukafanya ivyo,masihara yapo ktk mambo haya ila tunapaswa kuwaza kwanza kabla kuposti vichekesho kma ivyo.
 
Basi umsimhangaikie tena mamaa mpe huyo mnyaki atinge
 
Ha haaa napata wasi wasi utakuwa wewe ni ninawe.
Namna unavojibu sio mgeni ila may be n stori za jf tu
Lakin hauwezi kuwa wife of somebody na ukaja na justification za ajabu hivi.
Tayar una motive ya ku cheat so go have a fun
Ndo huyo huyo wala hujakosea.......walah nimemdharau sana huyo mwanamke kwa kweli!
 
Unatafuta justification tu ya kugawa nje huna lolote lile,Ukiona mmeo hajitumi unajituma zaidi,kula koni lamba kudu,finye ken mpaka apandwe wazimu.Vinginevyo ujue keshaoa huko mkoani
 

1. I don't get kumruhusu mwanaume akuongeleshe anavyojisikia.

2. Highway to the grave.
 
Woiii! Nikifanya mahaba hayo yaan amapump dk 1 tu tayari unashtukia tu anakoroma anaudhi
Ulivyokuwa unasema mnapendana sana ulikuwa una maanisha nini? Natamani nikutukane tusi kubwa hapa basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…