Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

KALINZI NYUMBANI

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
1,797
Reaction score
1,594
Wameniconferm jana, niende kituo cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
 
Kwanza hongera ila cha kukushauri tu, usianze kununua nepi kabla mtoto hajazaliwa maana anaweza kufa pia.

Kufanikiwa kwako kuna wengine inawauma na jicho la husda lipo. Pambana kimya kimya na umshukuru Mungu sana wala usiwabeze makanjibai kwani nao walikulipa mshahara kwa makubaliano.

Hujapasua bado kwani binadamu hatupangi maisha ila yanakuja yenyewe la mwisho ni Confirm msomi.
 
Kwanza hongera ila cha kukushauri tu
Usianze kununua nepi kabla mtoto hajazaliwa maana anaeweza kufa pia

Kufanikiwa kwako kuna wengine inawauma na jicho la hasidi lipo
Pambana kimya kimya na umshukuru Mungu sana wala usiwabeze makanjibai kwani nao walikulipa mshahara kwa makubaliano

Hujapasua bado kwani binadamu hatupangi maisha ila yanakuja yenyewe
La mwisho ni Confirm msomi
Nakubali mkuu.
 
Sababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
 
Sababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
Punguza makasiriko atakua excited, jambo kubwa hajataja kampuni, kwahio muacheni afurahie.
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Mkuu Hongera Sana, Kwa kumbukumbu zangu huko Kwa makanjibai mie ndio nilikuambia utume CV humu humu jamiiforum, tukumbukane mkuu. Namba yako bado ninayo.
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Hongera Sana mwanetu..kawakilishe vizur usije ukapagawa na ml 6..ukaanza mambo ya Ajabu
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Hongera, Ila kawe mtu mwema pesa hisikubadilishe tabia njema.
 
Back
Top Bottom