HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Omba Mungu hiyo kazi iwe na kheri na wewe, Saa nyingine ukienda kwenye kazi nzuri zinazolipa vizur kuna changamoto nyingi zaidi hasa ukijiweka kwenye kulipiza na kujionyesha.Sehemu napofanya kazi Kwa Sasa notes ni one month kama unataka ku resign. Namalizia mwezi wangu wa mwisho Kwa makanjibai.