Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

Sababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
Umenena mkuu tuna Taifa la vijana wajinga sana ,badala ya kuwaza ubunifu kazini anawaza kuhusu mademu
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Usisahau kutoa ZAKA kwa Mungu wa kweli kila fedha unazopata ni ulinzi juu ya Maisha yako na kazi yako .
Kuna kuwa na Kafara kwenye madini wahusika ni wafanyakazi.
 
Laki Mbili Per Day....

This make sense...

Town hapa Patamu ufike 1m per day! Hizo Tambo zako ndio utazifanya kwa hasira zote,maana una mahasiraa muraah!

Ongeza Juhudi + Jiongeze 200k per day uwezo wa kufika 1m per day by 2025-2026 upo 80% kama ukiweza jua nini unafanyia hiyo pesa kuizalisha zaidi.

All in All katoe sadaka ya shukran arif halafu funga hilo bakuli sasa,Tutakuloga bure!
 
Sababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
Umeongea kitu nilichotaka kuongea Ni ishu ya emotional intelligence. Yaani the guy is really overwhelmed by his euphoria and pleasure plus dopamine at work has released in large amount together with revenge and ego boosting.
Emotions have us but we don't have them
 
Hili alipaswa kulizingatia kabla haja post.Sio kitu kizuri kabisaa hiki kwa ustawi wa maisha yake.Binadam ni wabaya sanaaaaaa....
Aliona ajisifie ila kama amewabeza na vijiweni na jamaa zake basi Mungu amsaidie

Kuna watu huwa hawataki maendeleo ya wenzao na tunafundishwa kwa kila tamaduni za watu duniani kote sio sisi tu kuwa ukitaka kufanya kitu usitangaze
Screenshot_20230511_105230_Google.jpg
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Mikoani kuna deals kibao,wale wanaobanana mjini waache wateseke
 
Sababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
NAKAZIA HAPA.
 
Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2 .

Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm Jana, niende kituo Cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.

Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama Jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.

Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.

Nawaza Sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?.

Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.

Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.

Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Kote umewaza Sawa Ila umekuja kupuyanga hapa.

Nakunukuu:

Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.


Hiki ndicho kitakufanya usiendelee na kuishi tofauti na awali
 
Sawa mkuu endelea kuamini nitangazo, lakini nasema ee Mwenyezimungu nashukuru Sana hatimae Mama angu apumzike Sasa kuuza Ndizi pale KALINZI.
Hongera dogo ila... taratibu!
6m ni nyingi ila sio ya kumaliza matatizo yako yote na kutimiza ndoto zako zote.
Akili huwa inanyumbuka kulingana na unachopata, soon utaona hiyo pesa haitoshi kabisa.
 
Sawa mkuu endelea kuamini nitangazo, lakini nasema ee Mwenyezimungu nashukuru Sana hatimae Mama angu apumzike Sasa kuuza Ndizi pale KALINZI.
Hongera ila bado sana tuliza kichwa huko kwenye madini nikawaidakumaliza mwezi hujalipwa hela yako, pili yaogope madeal usiyoyaamini vinginevyo utaanza
 
Kulikua hakuna sababu ya kujianika hadharani, narudia tena usitangaze mafanikio yako kwa watu, watu wengine mahasidi hawapendi kuona mafanikio ya mtu
 
Back
Top Bottom