Hiyo ni zaidi ya dharau wewe mpaka mtu anasema mkewe akifa anakuwa mke wake mm nawaombea tu mkewe awafumanie tu aone umuhimu wa mke na thamani ya mkewemkuu jamaa anamdharau sn mkewe.......
kwa beki 3? kwaio beki 3 anajua udhaifu wa maza house bila shaka!!!..... mbaya sn hii
Tatizo akimuoa naye ataleta kisirani fulani hivi, matokeo yake inabidi jamaa atafute beki 3 mwingime!!!!Mkuu si umuoe tu unasubiri nin.
Duhhh shubamit hivi ukitangulia wewe itakuwaje [emoji36]Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Utakuta mkewe kutwa kujitambulisha, "mimi mke wa Joshua" kumbe anaombewa kufa kwa sababu ya house girl!Hiyo ni zaidi ya dharau wewe mpaka mtu anasema mkewe akifa anakuwa mke wake mm nawaombea tu mkewe awafumanie tu aone umuhimu wa mke na thamani ya mkewe
wewe ni mhalifu kama wahalifu wengine. Unamlaje hausigel wakati mkeo yupo? Huyo bint anahitaji kuolewa awe na maisha kama unavoishi na mkeo. acha ukatili kwa wanawakeTulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
ila kiongozi umenena. Ukiona mwanga nyumban ujue bill ya umeme inaongezekaKuna mwenzako pia naye leo anafurahia kutimiza miaka 10 na mkeo
Akisha mwoa anakua na tabia zilezile za bi mkubwa.Mkuu si umuoe tu unasubiri nin.
Jamii forum kila mtu ni mnyoofu! (omugologoki), kama hujaoa subiri uyaone.wewe ni mhalifu kama wahalifu wengine. Unamlaje hausigel wakati mkeo yupo? Huyo bint anahitaji kuolewa awe na maisha kama unavoishi na mkeo. acha ukatili kwa wanawake