Miaka mitano kimapenzi na Housegirl kwa siri

Ndio shida ya kukaa na h.gal mda mrefu! Lazma kutakuwa na kitu! Me akikaa kwangu mwaka mmoja inatosha! Ni wasiri Sana na wana roho ngumu mno!
Hapo pengine madam anampenda na kumwamini kwelikweli!
 
We utakua na UKIMWI kwanini umejuaje mkeo atakufa akuache?
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
Duhhh shubamit hivi ukitangulia wewe itakuwaje [emoji36]
 
Tulianza haka kamchezo Disemba 2013 sasa tumetimiza miaka mitano kamili. Asante Da Teddi. Endapo Bi. Mkubwa akatangulia basi nafasi I wazi.
**nawasihi msijaribu mapenzi na mabinti hawa ni watamu ajabu na ukizingatia na hawa wake zetu full visirani
wewe ni mhalifu kama wahalifu wengine. Unamlaje hausigel wakati mkeo yupo? Huyo bint anahitaji kuolewa awe na maisha kama unavoishi na mkeo. acha ukatili kwa wanawake
 
Mkuu miaka dala beki tatu anamuombea kifo maza house mpe mtaji tu mana umemfuja vya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…