Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
- Thread starter
- #21
Nunua Jenereta
Hatusemi kwamba matatizo hayakuwepo, Lakini tunahitaji kuona nia na malengo thabiti katika kupambana na kuyatatua!Wee ni mshamba sana kwamba matatzo ya meanza bada ya mwendazake..? Mimi naamini alifanya yake akasepa.... ana 40 na 60 kwangu ... Mama anatakiwa atengeneze taasisis imara
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio wananchi wako gizani kiongozi yupo kwenye ndege kuhudhuria semina ya gesi ya ukaa! Au wanafunzi wanakaa chini, Barabara mbovu hazipitiki lakini kiongozi yupo anasherehekea Birthday au hafla sijui semina tena anawaruhusu watendaji wale kwa urefu wa kamba! NONSENSE!