FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sisi tunamuomba Mwenyezi Mungu ampe afya na utawala mrefu mama Samia.me sijazungumzia kushindana Mungu ila tunaweza kumuomba Mungu at ujaalie kiongozi kama yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunamuomba Mwenyezi Mungu ampe afya na utawala mrefu mama Samia.me sijazungumzia kushindana Mungu ila tunaweza kumuomba Mungu at ujaalie kiongozi kama yule
ndo chawa mliozungumziwa hapo juu.Sisi tunamuomba Mwenyezi Mungu ampe afya na utawala mrefu mama Samia.
Hahah una uhasira kisa nimeigusa legacy? Pole sana yule marehemu alikuwa mtu katili na Rais mbinafsi kuwahi kutokea hapa TanzaniaSidhani kama akilo yako iko sawa, vipi,kwanza umekula?
Aisee, kumbe una macho.Freedom in poverty?? Hata sasa watu wanapotea zaidi kwa vifo vinavyotokana na umeme kukatika ghafla huko mahospitalini, wengine wanapotea kwa njaa, wengine kwa hali ngumu ya maisha n.k wewe kama unaishi vyema usizungumzie wengine! Watu wanateseka na migao ya umeme, bei ya vitu kupanda, watu wanashindia mlo mmoja wewe unaongelea huo upuuzi gani? Au hawa wengine sio watu?
Nakuunga mkono japo na wewe mwanzoni ulimsifia JPM kabla baadae hujaingia mitini na kutoroka jamiiforums ukaufyata mkia ukiogopa kukosoaSukuma gang na uzushi.
Mmekosa mmekosa tu. Samia ndiye chaguo la Mungu la ukweli, au nalo utabisha?
Huyo hana akili. He is bitter labda kakatiwa mrija wa asali aliyokuwa ananyonya awamu iliyopita. Halaf hawa Sukuma gang ukiwapinga wanajua matusi tu maana awamu iliyopita walizoea kuua na kuwatesa wapinzani wao na sio kupingana kwa hoja. Kiufupi hawajazoea kupingana kwa nguvu ya hoja wamezoea hoja ya nguvuNimeishia hapo ulipoandika vi nchi kama Ghana na Angola, Nika scroll down kupima urefu wa uzi , nikasema moyoni not a reading worthwhile.
Hakika kabisa uhuru wangu ni kitu cha thamani kuliko vyote sasa tupo huru .World economics shakes up! (very common issue)
Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!
Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
Inahitaji exposure kutambua hayo ,Mapenzi upofu, Kenya, Rwanda drc kote bidhaa zimepanda bei penye nafuu kidogo zambia tu
Watu wengi hawana exposure so hawajui economic dynamics za kipi kinaendelea huko duniani kwa sasaInahitaji exposure kutambua hayo ,
Nilifikiri yupo genuine, haikuchukuwa muda mrefu sana kugundua alikuwa ni feki tu.Nakuunga mkono japo na wewe mwanzoni ulimsifia JPM kabla baadae hujaingia mitini na kutoroka jamiiforums ukaufyata mkia ukiogopa kukosoa
Mkuu kabla ya kuhitimisha hoja yako juu ya tathimini yako ulioifanya kwa miaka miwili juu ya mwenendo wa kiuchumi wa taifa letu, ebu tupe kwanza picha ya jumla kwa kulinganisha na nchi jirani. Nini tathimini yako juu mwenendo wa kiuchumi wa nchi na wananchi waliopo katika eneo la Maziwa Makuu, EAC pengine hata SADC.Ndani ya miaka hii miwili watanzania wameshuhudia na kupitia katika kipindi kigumu pengine kuwahi kutokea Tanzania.Ni kipindi ambacho huenda kinyozi wa saluni amefunga ofisi yake si chini ya mara 5 kwa wiki, Ni kipindi ambacho tumeshuhudia kuibuka watu wanaoitwa chawa...
Ben saanane ni nini kati ya watanzania 60,000,000?World economics shakes up! (very common issue)
Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!
Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
Ben saanane ni nini kati ya watanzania 60,000,000?
Watu wanakufa siku zote na kama uliishi kama panya ni dhahiri wewe ni panya mpaka leo.
Ushiga haujawahi kuwaacha salama.
Sasa hivi wanaotekwa nani anawateka?
Bora wewe unapata hasara ya mfuko mmoja au miwili. Kunakipindi WENZAKO wakipoteza roho mbili mpaka tatu za wapendwa wao.Ninakiwanda changu hapa cha kufyatua tofari!
Karibu kila siku napata hasara ya mfuko mmoja wa cement mpaka miwili kwa siku....