Miaka Miwili ya giza, uchawa, unafiki na mateso kwa Watanzania

Kwani ata kabla ya ayo ni lini Mtanzania aliishi maisha mazuri.Kinachozungumzwa hapa ni Ile nia ya serikali kuwaondoa Wananchi wake kutoka kwenye umasikini wa kutupwa.Magufuli alikuwa na mwelekeo mzuri ila uyu Mama anaturudisha nyuma,yaani ukiangalia madudu ya utawala wa JK na utawala wa Mama huoni tofauti.
Uwizi serikalini umerejea kwa kasi,nidhamu ya watumishi imekuwa ovyo,Umeme unakatika ovyoovyo nk.
 
Mbinafsi
Mchoyo
Mkanda
Mkabila

Mwl. Jkn alikimea vikali sana watu wakabila, na wabinafsi.
Kwani Bibi siyo Mkanda;Mkoa wa Pwani peke yake una Mawaziri 5 Tanga 3 na Zanzibar 5.Kwenye Mikoa ya kimkakati kama Mbeya kawapa Unaibu Waziri.Tabora ndiyo kabisa hamna ata Waziri mmoja.
(Naibu Waziri aingii kwenye vikao vya Baraza la Mawaziri)
 
Basi kama ni hivyo Zanzibar ingekuwa inatisha kimaendeleo Afrika Mashariki!
 
Mm mwenyww namshanga anavyo fananisha angola na tanzaniaa

Hv anaijuwa angola kweli ,angola ni nchi ya tatu afrca kwa uchumi imara

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mjomba hapo umetupiga kamba!
Angola ni ya ngapi?[emoji1787][emoji1787]
Na Egypt,Tunisia, Morocco na Algeria zipo namba ngapi!!
 
Kwaiyo tusaidie wewe Mwerevu,sasa hayo Mashirika uliyoyataja yameisha toweka au bado yapo?na kama yapo unadhani kwanini serikali za nchi husika haziachi yakafa jumla pamoja na kuingiza hasara?
Ndege ni kichocheo cha Uchumi kwa maana ya kurahisisha usafiri wa abiria na Mizigo,ata kama inaingiza hasara lakini inasaidia sector zingine za Utalii,Kilimo,Madini nk.Ujasikia serikali ya Saudi Arabia wanataka kuanzisha Shirika lingine la Ndege nje ya Emirates?
 
Ukiona nchi kubwa matajiri wanahangaika na biashara ya ndege kwa hasara ujue nchi maskini zitateseka sana. Unajua mtaji wa kwanza wa shirika la ndege ni wasafiri wa nchini wanaokwenda nchi za nje, halafu ndio inafuata wasafiri kutoka nje wanaokuja nchini. Sasa sisi hatuna watanzania wengi wanaosafiri kwenda nje, kwa hiyo hatuna mtaji msingi na hii inafanya biashara yetu ya ndege kuwa ngumu zaidi ya wakenya, south africa na wengine. Je tuna uwezo wa kuendelea kulibeba shirika letu la ndege kwa ruzuku kwa miaka mingi isiyo na faida? Kenya na Afrika Kusini wamechoka ndio maana rais Ruto wa Kenya alipokwenda Marekani alitangazia wamarekani waje wawekeze Kenya Airways kwa masharti nafuu. Time will tell utajua namaanisha nini.
 
World economics shakes up! (very common issue)

Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!

Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
Wewe ni mpumbavu!

Kabla ya hao kina ben una habari kama kuna watu waliuawa kwa kurushiwa bomu kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha?

Mwangosi yuko wapi?
Ulimboka yuko wapi?
 
Wewe bawe haujui Saudi Arabia nini na emirates nini. Para darsa dogo...

Saudi Arabia wanamiliki shirika la ndege liitwalo Saudi Arabian Airlines, wanaanzisha shirika jipya liitwalo Riadh Air.

United Arab Emirates ndio wana shirika liitwalo Emirates.

Saudi Arabia na United Arab Emirates ni nchi mbili tofauti kabisa.
 
Umeme ulikatika wapi,tupe mifano ya maeneo umeme ulikuwa unakatika ovyo awamu ya tan😵nline media kama JF zilikuwa active,tuoneshe ata Uzi wa kuilalamikia kukatika umeme awamu ya tano.
Swali lako gumu, inamaana umeme haukukatika awamu ya tano?
 
Mengi umeandika Uongo kwanini ? Samia si malaika Ila Mama anajitahidi kwa nafasi yake
 
Kabisa yani watu wamefumbwa macho ni vipofu zaidi ya Bartimayo
 
Huyu mama yupo Kwa ajili ya matajiri na wazanzibar ila sisi kachoka nani ni mbwa tu kwake ndio maana hausikii akizungumzia matatizo yetu
 
Unatuchosha utatulipa tukimaliza kusoma?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa naangalia mechi ya Madrild ilikuwa usiku kama saa tano na dakika hivi,jamaa akabadlisha chanel akaweka Itv,Nikamuona mama anatangaza kifo cha JPm,nililia Sana alafu nikajikaza nikachukua Boda mpaka home.
Nikakimbilia kwenye Begi langu kuitafta Rasimu ya katiba inasemaje pale kiongozi/Rais anapfariki kabla ya kumaliza kuhudumu Muda wake,Nikaona wameandika anayechukua nafasi yake ni Makamu wake wa Rais,Machozi yakaanza kunitoka tena,wakati huo sio namlilia JPM nikawa naililia Tanzania,Namuuliza Allah kwanini umemchukua huyu ukamuacha huyu?.
Nilishaona kwamba kwa uongozi wa anayekuja Nchi itapotea,kutaibuka visasi,Uzalimu,Rushwa na mengine ya Hovyo.Na kweli yaani Mama Tangu aingie madarakani mwaka wa pili sasa mvua zimenyesha mara 2tu njaaa imetamalaki kila kitu ni hovyoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…