Miaka miwili ya Rais Samia, Hakuna jambo la maana linaloonekana!

Miaka miwili ya Rais Samia, Hakuna jambo la maana linaloonekana!

Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Sawa una hoja gani tena?
 
Hakuna wanaotekwa..
Hakuna wanaopigwa risasi .
Hakuna anekamatwa Kwa kupinga serikali watsap gruop..
Hakuna Kesi ya wamiliki wa JF..
Hakuna mfanyabiashara alieporwa hela..
Hakuna plea bargain...
Hakuna kabila moja kupewa teuzi..
Hakuna upumbavu mwingi...

Miaka miwili ya mafanikio
Takbiiiir
 
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Acha ujinga wewe ndiye huoni sisi wananchi wazalendo tunaona. Viva mama Samia viva
 
Unajua unapojudge mambo judge kwa reasoning sasa hivi mama Samia anakuambia ni mwendo wa matokeo sio awamu zile tunasema mambo kwa kuexegrate bila kujua hilo suala halitakamilika ama halina uhalisia. Yeye anataka tumwambie ukweli halisi, hivi umeona akizuia ripoti ya CAG imseme kwa mazuri tu anataka uongozi wake ukosolewe na hiyo ndio accountable government sio unisifie ilihali watendaji wangu huko chini wanaharibu wanakula kama mchwa akina sabaya hao na hatutaki ripoti iwataje isifie tu.
 
Mama hongera endelea na mipango yako sisi vijana wazalendo wasiopenda vyeo na unafiki tupo nyuma yako. Mabaya rekebisha, mazuri endelea nayo songa mbele.
 
Hakuna wanaotekwa..
Hakuna wanaopigwa risasi .
Hakuna anekamatwa Kwa kupinga serikali watsap gruop..
Hakuna Kesi ya wamiliki wa JF..
Hakuna mfanyabiashara alieporwa hela..
Hakuna plea bargain...
Hakuna kabila moja kupewa teuzi..
Hakuna upumbavu mwingi...

Miaka miwili ya mafanikio

Ahsante sana, hawa mbuzi wamemiss kunywa damu za watu, Walishazoa kuwa kama ma vampire!!
 
Mimi Sina cha kumlaumu mama kwakweli.mwendazake na aendee tu.alitunyanyasa Sana kwenye swala la ajira.wanangu wa 2015 tulieni mtalamba ajira mwaka huu tena.achaneni na Yale manyau nyau kuteka watu tu ndio waliweza.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna wanaotekwa..
Hakuna wanaopigwa risasi .
Hakuna anekamatwa Kwa kupinga serikali watsap gruop..
Hakuna Kesi ya wamiliki wa JF..
Hakuna mfanyabiashara alieporwa hela..
Hakuna plea bargain...
Hakuna kabila moja kupewa teuzi..
Hakuna upumbavu mwingi...

Miaka miwili ya mafanikio
Yaani juzi tu Sabaya ameachiwa kwa plea bargaining kwa kukubali makosa ya kuteka, kutesa na kupora wewe uneshasahau?
Huu upumbavu wakiofanyiwa watu wa Dodoma kuvunjiwa nyumba zao zaidi ya 30 Leo hii hukuuona.
Au ule upumbavu wa watu wa Kimara stop over kuvunjiwa nyumba zao halafu sehemu Ile Ile kikajengwa kituo Cha mafuta hujaiona.
 
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Hili la kula kwa urefu wako nalo kwani sio jambo
 
Majina yote haya yaliyojaa,ukaona Bora ujiite shahawa?
Kwa miaka uliyonayo saa hivi 25 hiyo unaweza kukuta kuna watu wanakuita baba wengine anko lakini kwenye mada hii nzima we ulichoambulia ni shahawa tu lugha ziko nyingi sasa kuna watu wanaitwa:
1. Dr. Mwakikuma - Mbeya
2. Dr. Mwakatobe - Mbeya
3. Dr. Grace Kumamoto - Japan
4. Dr. Arun Kumar - India
5. Rev. Edd Matako - America
6. Dr. Dude - Machine
7. Dr. Kundu Yangzom - Nepal
8. Dr. Puru Dhawan - India
9. Dr. Jordana Boro - Canada
10. Dr. Mwampolopoto - Mbeya
11. Uchi Uke - Japan
12. Pumbu Bwalya - Zambia
13. Kumamoto - Japan
Je, na hawa wakitoa michango yao utaelewa kweli?
 
Gharama za Iftar yako ya leo bill kwangu
Ni rahisi sana kusema rais Samia hajafanya kitu sababu hujui

Sasa hebu tuambie kwanza wewe hii miaka miwili umefanya nini[emoji1787][emoji1787]
 
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
UTAFITI gani uliofanya?.
Huyu Rais kafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Akidhibiti na ufisadi, na nidhamu maofisini atakuwa the best of the recent presidents.
 
Yaani ngosha huoni reli ya SGR inayojengwa Mwanza kuja Tabora na Tabora kuja Singida, Singida kuja Dodoma na Dodoma kuja Morogoro?
Alafu Tabora kwenda Kigoma?

Akimalizia ile aliyejenga Mwendazake Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dodoma?
Hivi kulikua na haja gani ya kujenga sgr mpya dhidi ya kuupgrade au isingewezekana?
 
Back
Top Bottom