Miaka miwili ya Rais Samia, Hakuna jambo la maana linaloonekana!

Miaka miwili ya Rais Samia, Hakuna jambo la maana linaloonekana!

Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Bussy 4NTNG
 
Wewe jamaa pimbi sana,wakati unafahamu Mama anamalizia mamiradi yenu ya kifisadi myliyoingia mamikataba ya ajabu ajabu munamtesa bimkubwa kumalizia miradi muliyokula 10%.
 
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Bajeti ya 2022/2023 zaidi ya 2.9 trilion ya ujenzi wa barabara, na hakuna hata 1 km ya lami iliyojengwa na hizo pesa zipo wapi? Kweli tuna rais muwajibikaji? Je kweli tuna kiongozi? Je anatufaa kweli huyu? Madudu kibao kila idara na anachukulia poa kazi yake ni kusubiri kuletewa taarifa bila kufatilia, kusafiri nje ila wakati wakati nchi inaliwa, je anapaswa kumlaumu mtu au ajilaumu yeye mwenyewe kwa kuwa mzembe, hana uzalendo na hana uchungu wa hii nchi.
Naunga mkono hoja kwenye hii hawamu ni mwendo wa kuimba taarabu bila kutekeleza miradi.
 
Mama amefanya mengi sana amejenga madarasa mengi sana haijawahi kutokea tangu tupate uhuru ,amepandisha madaraja watumishi ,ameleta mariziano ,miradi yote ya kimkakati anaiendeleza, kilimo kimeimarika sana ,ametoa ajira nyingi
Hii miradi anapatanayotabu wakati walioianzisha waliiacha kwenye asilimia za chini sana,huku wakiwa wameshakula 10% mbuzi hawa,na mahela mengine wameyasweka vijijini kwao na ughaibuni,wanampa wakati mgumu Mama na mikataba mibovu inayokula riba hata kazi hazijaanza
 
Hakuna wanaotekwa..
Hakuna wanaopigwa risasi .
Hakuna anekamatwa Kwa kupinga serikali watsap gruop..
Hakuna Kesi ya wamiliki wa JF..
Hakuna mfanyabiashara alieporwa hela..
Hakuna plea bargain...
Hakuna kabila moja kupewa teuzi..
Hakuna upumbavu mwingi...

Miaka miwili ya mafanikio
Endeleeni kumsifia huku mnamzunguka, nampa pole sana huyu Rais, na akija kumaliza muda wake huyu rais ndio atakuja kudhihakiwa kuliko marais wote waliotangulia.
 
Hii miradi anapatanayotabu wakati walioianzisha waliiacha kwenye asilimia za chini sana,huku wakiwa wameshakula 10% mbuzi hawa,na mahela mengine wameyasweka vijijini kwao na ughaibuni,wanampa wakati mgumu Mama na mikataba mibovu inayokula riba hata kazi hazijaanza
Mama sio mwajibikaji, na sio kiongozi, yeye aendelee kusafiri hivyo hivyo.
 
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza kupoint out kwamba jambo hili limegusa maisha ya watanzania wa hali zote? Je, kuna nia ya dhati na mikakati madhubuti ya kutokomeza maadui wa taifa (umasikini, ujinga na maradhi)? Je, Walau kuna miundombinu ya maana katika level za kimataifa na project kubwa zotakazotiinua kiuchumi zime/zinafanyika? Je, Kuna nia ya dhati ya kudhibiti matumizi na kuziba mianya ya rushwa na kuelekeza nguvu katika matumizi ya maendeleo?

Asilimia kubwa ya watanzania watakupatia jibu moja tu, HAPANA.

Kwa tathmini hii ni wazi kwamba huenda Tanzania tusiifikie safari yetu ya kujikomboa kiuchumi na kuondokana na maradhi na ujinga, Au itatuchukua muda mrefu sana kuweza kuondokana na umasikini.
Huyu mama kwa kweli ametuongezea shida mara 100
Kila mahali kuna shida mawaziri na makatibu wakuu wakuu wa mikoa na wanasiasa ndo wanafaidi na kumsifia huyu mama
Ukianza
1.ufisadi
2.tozo
3.mfumuko wa bei
4.ukame
 
Hii miradi anapatanayotabu wakati walioianzisha waliiacha kwenye asilimia za chini sana,huku wakiwa wameshakula 10% mbuzi hawa,na mahela mengine wameyasweka vijijini kwao na ughaibuni,wanampa wakati mgumu Mama na mikataba mibovu inayokula riba hata kazi hazijaanza
Kwa nini naye asile hiyo 90% si ndoo anaongoza nchi kwa raha na mstarehe
 
Back
Top Bottom