Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Kweli kabisa bila Freebasics sidhani kama ningekuwa Mwana Jf maana nilianza kufuatilia Jf seriously baada ya ujio wa Freebasics mpaka mtaani wenzangu wakawa wananiita 'Mzee wa Freebasics' hatimaye nikazoea na kujiunga rasmi.
2016 Io form two nikiamkaa Kwanza naingia bbc Swahili,jf namalzia na goal.com ndo naenda shule nkirudi naanza kusoma makala za jf sasa kulikua na nondo Sana humu
 
Wengi tulijoin jf kwasababu ya nondo za jamii intelligence, mambo siku yako vululuvululu, uzi sio wa mapenzi kuna kiande anakuaga wa kwanza kuchomekea mizagamuo, uzi sio wa dini kuna viande wanauhusisha na dini na matusi kibao.

Hata wale magreat thinker wa zamani nao wamemezwa na na jf ya kisasa
 
ili mradi umdissapoint
Shukrani kwa kulitambua hilo , sasa watu kama hao hawanisumbui maana nimeshajichagulia kutofocuos na maneno Wala mtu yeyote anayekuja na atakaye kuja kishari ni kuwapuuza tu maana kuhangaika nao ni sawa na kujipa mateso kitu ambacho sina mamlaka nacho na Wala uwezo nao.
 
Hiyo picha hapo chini unamaanisha nini?
 
Hili suala la jf kupungua ubora silielewi kabisa.

Kuna thread ya 2018 niliona mtu analalamika jf imeharibika...

Sasa najiuliza imeanza kuharibika lini?

Au watu wanapenda kusema hivyo wakiona flani kaandika kitu kinachowakera?
 
Hiyo picha hapo chini unamaanisha nini?
Begi linamaanisha
1. Masiha ya kiuanafunzi kwani nimetumia mda mrefu kuishi maisha hayo. Miaka 2 awali , 7 primary, 4 secondary , 2 advance na , 3 University. Karibu nusu ya umri nimetumikia kubeba begi kutafuta Elimu.

2. Silaha (Gun) ina Symbolize mapambano , maisha yote ya mwanadamu yanahitaji mapambano katika kufanikisha malengo ,na kuyaendae mambo kwani changamoto ni nyingi mno tukianzia watu kukuatisha ,tamaa ,kukurudisha nyuma ,kufanyia figisu , za kisaikolojia nk sasa inatakiwa kudeal nayo kwa mapambano kielimu , kiakili na mengineyo kama ikihitajia..

Sasa hiyo Gun ina wakilisha mapambano na katika mapambano katika Matumizi ya silaha Vilevile inahitajika umakini kuhakikisha unalenga panapo husika , kwa usahihi ndani ya wakati muafaka

#TheGunMan

Cc : Selikavu
 
Hili suala la jf kupungua ubora silielewi kabisa.

Kuna thread ya 2018 niliona mtu analalamika jf imeharibika...

Sasa najiuliza imeanza kuharibika lini?

Au watu wanapenda kusema hivyo wakiona flani kaandika kitu kinachowakera?
Amna fuatilia tu mijadala ya miaka hiyo na sasa, hata ile tu ya mtu kuomba msaada au maelezo ya jambo fulani.

Comments za mwanzo si ajabu hata zisihusiane na alichoomba zaidi ya kejeli na matusi sometimes, ila nyuma huko watu ni kama walikua wanaoneshana umwamba nani anajua zaidi hivyo utakuta majibu lukuki.

Hata ukisearch kitu google, ukaletewa majibu toka jf, ni majibu ya miaka ya nyuma sio sasa.
 
Kwanini The Mongolian Savage na Maghayo wanakuita nyau??
Na hashtag yao ya nyau de adriz
Sijui kwa nini ila jamaa ana shida kichwani , labda kwa vile nafichua maujinga yake ndio maana ananishambulia hivyo.

Kwa vile nishamjua shida nyaja kichwani zimekatika nimeamua kumpuuza rasmi yaani mtu mzima amefikia stage ya kutishia watu kujamba humu na mpk kurekodi clip akila nyetoh na kurusha Jf live, automatically anakuwa Barbarian wa kupuuzwa tu.
 
Duh, ila hii mitandao inaweza kufanya ukatukanana na mwanao wa kuzaa kabisa.

Unakuta mtu anakutukania mama yako kumbe in reality anamtukana bibi yake tena kwa kutumia pesa za bundle zako mwenyewe.

Anyways hongera kijana kwa kutimiza miaka 10 ya JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…