Sasa kama miaka zaidi ya 60 sasa tunapeana vyeo/ajira kwa kutumia vigezo vya undugu, kujuana, urafiki, ukada, nk! Badala ya kuangalia maarifa ya mtu kichwani, unategemea nini!
Ufisadi unetamalaki, huku watu wakilindana yoyote ile! Wanasiasa wapiga midomo muda wote na wenye sifa ya kujua tu kusoma na kuandika; wanalipwa mishahara mikubwa kuliko wataalam wa fani mbalimbali! Bado tutegemee nchi hii kuendelea!!
Kuna wagunduzi kibao kwenye hii nchi! Lakini hawapewi kipaumbele. Badala yake watawala na wanasiasa wanaona bora wapige 10% kupitia bidhaa duni zinazo agizwa kutoka nje, huku zile za wazawa zikipuuzwa.