Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,401
- 2,336
ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari, hapo kashatabiriππππ
Sasa viongozi WA namna hiyo njaa si zinawasumbua tu, Lod have Mess πHawa mtu na mkwewe utakuta kila muda wa ibada ukifika wanafanya ibada na cha kusikitisha zaidi kila inapokuwepo hafla ya kiserikali viongozi wetu wa dini wanawaombea dua waendelee kutawala! Siku ya kuadhimisha kifo cha Mwalimu Nyerere pale CCM Kirumba nimemsikia Sheikh wa mkoa akisema anaomba CCM iendelee kuongoza na viongozi wa upinzani waendelee kutoa ushauri,Inasikitisha sana.
At the end of the Day unasema uwaache tu watajuana na Mungu siku ya mwisho, maana tunachokaπππHuu ni mwanya mwingine kwa CCM kuhujumu uchaguzi na kuendelea kukaa madarakani milele!
Hii nchi ni ya kipumbavu ssna aisee!At the end of the Day unasema uwaache tu watajuana na Mungu siku ya mwisho, maana tunachokaπππ
PoleWacha tuendelee kucheza, ilihali kinachonichezesha hakiniumizi
Mchezo umeisha mkuuπππHatari, hapo kashatabiri
Kwa taarifa yako CCM itashinda kwa kishindo kizito sana LGENa hii inadhihirisha kuwa CCM wana uhakika wa kushinda uchaguzi kwa kishindi
Ndio usha piga kura hivyo, kuwaunga mkono CCM waendelee kudidimiza nchi yetu.Mimi nilienda na bint yangu kuandikiswa lengo tupate Ile Kadi ngumu, nikashangaa tunaandikishwa tu kwenye daftari biashara kwisha.
Hakuna kupiga picha Wala biometric nimebaki hoi !!!
HakikaKiujumla zoezi zima ni 'hadaa' tupu
Huu ni uchaguzi wa kiini macho wa mtu na mkwewe
Alafu utashangaa wagesabu kura wsnakupa takwimu za wapigakula kubwaaa tofauti na waliojiandikisha ππNa watu wameshajua kuwa ni wasanii, hata hawaendi
Kwani kuna sehem nimepinga?Kwa taarifa yako CCM itashinda kwa kishindo kizito sana LGE