LGE2024 Mianya ya udanganyifu ilivyotawala zoezi la uandikishaji

LGE2024 Mianya ya udanganyifu ilivyotawala zoezi la uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Masahihisho. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ulioshafanyika na uliishamalizika. Sasa hivi kuna Uandikishaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na kila Mtaa una kituo kimoja tu. Wana Mtaa tunajuana ndio maana hakuna mbwembwe nyingi.
Heee hii ni maajabu
 
Yaani, kweli sisi kama nchi tumeshuka kiwango hadi kufikia hapa!

Hata huko CCM kwenyewe, kweli hakuna watu wanaojiuliza kwa nini nchi yetu iwe namna hii? Hakuna wa kuhoji, mradi maslahi yao yanapatikana. Viongozi wote, walioko CCM; hadi wastaafu hawaoni dosari kabisa?
Wenzetu wako madarakani kwaajiri ya ulaji tu na vinginevyo, hayo ya nchi kuwa pahala pabaya tunayajua sisi, wao wanaona maisha wameyapatia
 
Back
Top Bottom