LGE2024 Mianya ya udanganyifu ilivyotawala zoezi la uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Masahihisho. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ulioshafanyika na uliishamalizika. Sasa hivi kuna Uandikishaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na kila Mtaa una kituo kimoja tu. Wana Mtaa tunajuana ndio maana hakuna mbwembwe nyingi.
Heee hii ni maajabu
 
Wenzetu wako madarakani kwaajiri ya ulaji tu na vinginevyo, hayo ya nchi kuwa pahala pabaya tunayajua sisi, wao wanaona maisha wameyapatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…