Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kawaida ,angalia content zaidi usilenge makosaMechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....
Kweli lugha ngumu
Captain Michael Maluwe sioni sababu ya kumponda as long as Kocha alilielewa swali mbona Wazungu huwa wanaongea kiswahili cha kuchekesha hatuwajaji ?Huyu Michael Maluwe wa zamani Sana. Nilianza kumuona anatangaza kipindi Cha michezo ITV 1999/2000 miaka Kama 24 iliyopita
We unayekijua kiingereza fasaha umefika wapi ???🤣🤣🤣Mechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....
Kweli lugha ngumu
Ofkozi yu noo akchuali 😂😂😂Mechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....
Kweli lugha ngumu
Kwanini asiongee kiswahili kama anajielewa ana mapungufu katika lugha hiyo?Mechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....
Kweli lugha ngumu
Alieleweka ila makosa hayo kwa mtu kama yeye ni aibu,hata mtoto wa primary hawezi kukosea kama alivyokoses,pata picha mtoto wake anaangalia TVCaptain Michael Maluwe sioni sababu ya kumponda as long as Kocha alilielewa swali mbona Wazungu huwa wanaongea kiswahili cha kuchekesha hatuwajaji ?
Mechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....
Kweli lugha ngumu
Nimeshawahi kuwa na demu wa kizungu alikuwa ana enjoy sana broken ingilishi yangu nashangaa wewe mswahili unajifanya much know kupitilizaAlieleweka ila makosa hayo kwa mtu kama yeye ni aibu,hata mtoto wa primary hawezi kukosea kama alivyokoses,pata picha mtoto wake anaangalia TV
Basi tufanye somo la English lifutwe tu mashuleni.Una Mawazo Kama Majirani zetu Wakenya.....!
Inaitwa assimilation..! Wenyewe wanatuona WaTz tuko nyuuuuma eti hatujui Kiingereza...teh teh..!
Sasa Nenda Kwa Wenye kujiamini na Lugha zao kama India,China n.k ..Hawa hawashobokei Lugha za Watu..!
Ifike Mahali tujiamini na Lugha zetu.