mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #41
Angeongea kiswahili tu,ulimbukeni ni kujifanya unajua kitu kumbe hujuiHuu ni ulimbukeni wetu tu, wenzetu wanaamini katika lugja yako ya kwanza/lugha mama. Angekosea Kiswahili kama lugha yake ya kwanza ningeelewa vyema. Kingereza kama lugha ya pili siyo suala la kutengenezea ujumbe wa kumsimanga mtu kwani kujua lugha husika si kuwa maarifa husika kwenye fani.
Hata hiyo uliyotoa wewe wajuvi wa mambo wanaweza kutohoa ukajikuta bado uko mbali na ukweli.